Buda lamba lolo..Kama pesa ni word ya britain ttaongea...tamaa mingi tafuta kamba ujinyonge
Don't forget to join your fellow team on comment section to enlarge the crying louder.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uwivu inamaliza watu huku. They have nothing to win against Kenya so they are living in denial. Mpesa was invented and developed in Kenya. Thats why its Called Mpesa and Kenya Leads the world in Mobile money. Tz ni maumivu tu. Witchcraft invented in Tz.
Sent from my TA-1032 using JamiiForums mobile app
Hehehe jamaa, yaani mtachimba mitandao yote kutafuta takataka yoyote itakayofuta aibu ya kushikishwa ukuta na wazungu kwa sakata la Bashite.
Mpesa ilibuniwa Kenya kwa ushirikiano wa Mkenya, tatizo hakua mjanja kujua umuhimu wa hati miliki kwenye teknolojia, akapigwa bao na wazungu.
Kuokota random discussion za watu kwenye Youtube sio kigezo chochote cha facts.
Don't forget to join your fellow team on comment section to enlarge the crying louder.
They are like women scorned or a jilted lover who will do anything and everything to try and pin you down na katika hiyo harakati wanjipata gap kati yetu na wao inazidi kupanuka....$49 b Tanzagiza $88b Kunya.Yaani wanakesha kuresearch anything negative about Kenya. Kazi hamnaπ π
They're retardedπ π π Huwa wananishangaza tuThey are like women scorned or a jilted lover who will do anything and everything to try and pin you down na katika hiyo harakati wanjipata gap kati yetu na wao inazidi kupanuka....$49 b Tanzagiza $88b Kunya.
Pesa is a Swahili name!Kumbe hizi kunya zilibuni jina Mpesaππππ€£π€£π€£π€£π€£πππππππ
U were a pilot project nobody argues that! But chimbuko is far than what u can Brag about!Wabongo katika ubora wao, wivu na majungu kama kawa. Ingependeza zaidi kama mngetuambia kwamba M-Pesa chimbuko lake ni Tanzania.
Ngoja usikie wakisema ati Wikipedia anybody can write.Mnabishana nini na facts zote zipo?
In 2002, researchers at Gamos and the Commonwealth Telecommunications Organisation, funded by Department for International Development UK (DFID), documented that in Uganda, Botswana and Ghana, people were spontaneously using airtime as a proxy for money transfer.[6] Kenyans were transferring airtime to their relatives or friends who were then using it or reselling it. Gamos researchers approached MCel[7] in Mozambique, and in 2004 MCel introduced the first authorised airtime credit swapping β a precursor step towards M-Pesa.[8] The idea was discussed by the Commission for Africa[9] and DFID introduced the researchers to Vodafone who had been discussing supporting microfinance and back office banking with Mobile phones. S Batchelor (Gamos) and N Hughes (Vodafone CSR) discussed how a system of money transfer could be created in Kenya. DFID amended the terms of reference for its grant to Vodafone, and piloting began in 2005. A student from Moi University in Kenya came up with a mobile software that could allow people to send, receive, and withdraw money from their mobile devices. Safaricom however convinced the student and bought the rights of ownership of this project hence becoming the sole owners of the patent rights. In April 2007, following a student software development project from Kenya,[10] Safaricom launched a new mobile phone-based payment and money transfer service, known as M-Pesa.[4]
The initial work of developing the product was given to a product and technology development company[11] known as Sagentia. Development and second line support responsibilities were transferred to IBM in September 2009, where most of the original Sagentia team transferred to.
Following a 3-year migration project to a new technology stack, as of 26 February 2017, IBM's responsibilities have been transferred to Huawei in all markets.
M-Pesa - Wikipedia
Mwanafunzi alibuni 'software' the whole idea ni ya Wazungu baada ya kutembelea nchi za Africa ikiwemo Kenya wakaona watu wakituma vocha vijiji ili waziuze wapate hela(ni rahisi kuliko kutuma hela). Dfid na taasisi nyingine za UK wakaweka hela research ifanyike kushirikiana na VODAFONE.RRONDO, shukran jombaa, naona kwenye taarifa yako wanasema M-Pesa ilibuniwa na mwanafunzi kutoka Moi University, Kenya.
Yep kupitia software development project ambayo ilikuwa bado ipo kwenye masuala ya airtime na sio hela. Safaricom walimhadaa huyo jamaa na wakanunua software yake sijui kwa hela ngapi. I hope hata hapa Jf tunao wale ambao watabuni vitu kama hivyo, iwe mkenya, mtz, mganda sio ishu. Bora tu ije kuwa kwa manufaa ya sisi waafrika.Mwanafunzi alibuni 'software' the whole idea ni ya Wazungu baada ya kutembelea nchi za Africa ikiwemo Kenya wakaona watu wakituma vocha vijiji ili waziuze wapate hela(ni rahisi kuliko kutuma hela). Dfid na taasisi nyingine za UK wakaweka hela research ifanyike kushirikiana na VODAFONE.
Hongera kwa kijana wa Moi Uni aliegundua software.
Itakuwa hela mbuzi kwasababu hakujua itakuwa kubwa kiasi gani?Yep kupitia software development project. Safaricom walimhadaa huyo jamaa na wakanunua software yake sijui kwa hela ngapi. I hope hata hapa Jf kuwa wale ambao watabuni vitu kama hivyo, iwe mkenya, mtz, mganda hilo sio ishu. Bora tu iwe ni kwa manufaa yetu sisi waafrika.
Sio tuna lead. Sisi ni wachawi?? Mpesa imefail nchi nyingi ila imekubali EA. Hata Nigeria imefeli. UK wanatumia mfumo wa credit card sehemu zao zote za manunuzi. Hiyo nikwa nchi zote za ulaya. Huo umeshakuwa utamaduni wao.πππTatizo shule haikukusaidia kufikili nje ya boxππππIf M pesa was invented by Britons then why don't they use it UK? Why is it popular in Kenya more than any other nation? Did those whites lack an English word so they settled for the swahili word? This jealousy is the reason mnalead kwa uchawi dunia nzima View attachment 923150