Hongera kwa kusafiri kila mwezi mkuu. Nalima pia hata hayo matango. Karibu uyanunue, nipate hela ya bando la kuingia JF.Unatulisha matango. Hivi kwafikila zenu mnazani kila mtu humu ndani ni bwege. My friend we travel almost every month. Huo uwongo unaosema humu niupumbavu wako. Usiseme eti umetapeliwa idea yako. It is a big lie. Sema tu kila mtu huwa na idea in different form. Ukiwa na idea alafu huna mtaji(pesa) ya kusecure hiyo idea huwezi huza ukafanikiwa. Nilazima uwe na lawyer, kampuni ambayo imekuwa registered pamoja na office. On top of that unafanya lobbing. All that it means you need to have money. Angalau kama 15 million minimum. Kwa sababu kwenye telecom utakuwa nauwakika wakupata minimum ya 70 million ikiwa na makato ya kodi. Hiyo mnaigawana kwa ratio ya 60/40% . Kutokana na makubaliano. Kama ulienda na umasikini wako hacha uliwe. Hata ukienda mahakamani kwanzs utafungwa wewe. Anae lipwa sio mtu bali ni kampuni. Hata copy right yenyewe ulikuwa hujaipata cause hukuwa na kampuni. Idea huwa ni pesa. Ndo maana wenye idea huenda kwa matajiri kwanza, ili wawezi kui secure kabla hajaiyuza.πππ
From Kenyan social media. π Hawa jamaa 'wameboeka' sana. Labda kule kwao Instagram walimaliza kujadili kuhusu lipsi za Dayamondi. [emoji23]
Donβt argue with these fools. Wamezoea kuquote Ndii and any other Twitter loud mouth as EVIDENCE.ππHehehe jamaa, yaani mtachimba mitandao yote kutafuta takataka yoyote itakayofuta aibu ya kushikishwa ukuta na wazungu kwa sakata la Bashite.
Mpesa ilibuniwa Kenya kwa ushirikiano wa Mkenya, tatizo hakua mjanja kujua umuhimu wa hati miliki kwenye teknolojia, akapigwa bao na wazungu.
Kuokota random discussion za watu kwenye Youtube sio kigezo chochote cha facts.
Donβt argue with these fools. Wamezoea kuquote Ndii and any other Twitter loud mouth as EVIDENCE.ππ
This thing was created by a Naive Moi university student. Around 2007 he tried to make noise akapewa a few KSH millions & a few shares akanyamazia hio story
View attachment 923807
Hahaa...are you jf member called Afrodenzi? I see you are using the same avatar. Are you Tanzanian?Tanzanians are ubiquitous in Kenyan social media, they will tell you Kenyan news that even we Kenyans aren't aware of. They know each and every politician in Kenya ( including many MCA's), they know all the Kenyan bloggers and Churches. They dream Kenya, think Kenya, sleep Kenya and eat Kenya. They know all the Tv and Radio stations with their presenters in Kenya, they know all the projects Kenya is undertaking and the cost of project. They are comfortable searching international articles just to read or watch Kenyan information. They know the lineage of Kenyatta, Odinga and Moi. It's here in JF that I'll wake up at 3am and already finding a Kenyan news posted by Tanzanian. My question, my concentrate on people who doesn't even care about your existence?
Acha uongo, M-pesa ni mradi ulioanzishwa na Uingereza chini ya shirika lao la DFID, lengo ni kusaidia nchi zetu masikini katika mambo ya Finance inclisivity.Donβt argue with these fools. Wamezoea kuquote Ndii and any other Twitter loud mouth as EVIDENCE.[emoji23][emoji23]
This thing was created by a Naive Moi university student. Around 2007 he tried to make noise akapewa a few KSH millions & a few shares akanyamazia hio story
View attachment 923807
Wonders shall never endDonβt argue with these fools. Wamezoea kuquote Ndii and any other Twitter loud mouth as EVIDENCE.ππ
This thing was created by a Around 2007 he tried to make noise akapewa a few KSH millions & a few shares akanyamazia hio story
View attachment 923807
Yeah you said it all perfectly but we are running out of the Mpesa founder's name, we tried all our radars and spectacular spectacles but no Kenyan spotted.Tanzanians are ubiquitous in Kenyan social media, they will tell you Kenyan news that even we Kenyans aren't aware of. They know each and every politician in Kenya ( including many MCA's), they know all the Kenyan bloggers and Churches. They dream Kenya, think Kenya, sleep Kenya and eat Kenya. They know all the Tv and Radio stations with their presenters in Kenya, they know all the projects Kenya is undertaking and the cost of project. They are comfortable searching international articles just to read or watch Kenyan information. They know the lineage of Kenyatta, Odinga and Moi. It's here in JF that I'll wake up at 3am and already finding a Kenyan news posted by Tanzanian. My question, my concentrate on people who doesn't even care about your existence?
The system to be called Mpesa doesn't make it possibly invented by KenyansEvidence from social media...naona mbongolala hana amani kabisa...MPESA was made in Kenya...kwani PESA ni english word?
This is utter nonsense!The system to be called Mpesa doesn't make it possibly invented by Kenyans
In Tanzania we have more than 40 vernacular languages which call money as "besa" that's mother tongue so if you don't know "pesa" derived from "besa" Tanzanians tribal word for money.
Then who's close to the innovation ownership? If we play branding card?
Utajinyonga buda..MPESA was made in kenya in 2007The system to be called Mpesa doesn't make it possibly invented by Kenyans
In Tanzania we have more than 40 vernacular languages which call money as "besa" that's mother tongue so if you don't know "pesa" derived from "besa" Tanzanians tribal word for money.
Then who's close to the innovation ownership? If we play branding card?
That someone never went to court to claim it...its made in kenya periodAs claiming someone's technology just because he called it by your language.
πππThe system to be called Mpesa doesn't make it possibly invented by Kenyans
In Tanzania we have more than 40 vernacular languages which call money as "besa" that's mother tongue so if you don't know "pesa" derived from "besa" Tanzanians tribal word for money.
Then who's close to the innovation ownership? If we play branding card?
Stop trashing someone's brilliant invention. Mark Zukerberg came all the way from the U.S to Kenya, just to see how M-Pesa came to be.Oh for pete's sake...
Y'all arguing like its the most creative invention...
Whoever did it first, is appreciated just because of that (being the first) and not by the genius behind it.
Y'all know why? B'cause technically, its just a simple database, with USSD interface.
It's not that of an invention, but a simple transactional application.
It is a banking system, minus an internet interface, replaced by USSD.
Toka lini wikipedia ikawa ndo source yakutegemeaπππππ Are you real a great thinker??Donβt argue with these fools. Wamezoea kuquote Ndii and any other Twitter loud mouth as EVIDENCE.ππ
This thing was created by a Naive Moi university student. Around 2007 he tried to make noise akapewa a few KSH millions & a few shares akanyamazia hio story
View attachment 923807