Electromagnetism JF-Expert Member Joined Nov 4, 2014 Posts 482 Reaction score 126 Nov 6, 2014 #21 watu mpaka wakija kushtuka kuwa dini ni plan za wachumia tumboo watakuwa wameibiwa snaaa
dudupori JF-Expert Member Joined Jan 6, 2012 Posts 1,795 Reaction score 1,914 Nov 6, 2014 #22 Ni bora mtu ubaki kwenye Uislam ama Ukatoliki, cjawahi sikia Masheikh ama Mapadri kwenye hii michuano ya kipuuzii.
Ni bora mtu ubaki kwenye Uislam ama Ukatoliki, cjawahi sikia Masheikh ama Mapadri kwenye hii michuano ya kipuuzii.
illuh JF-Expert Member Joined Mar 17, 2014 Posts 1,254 Reaction score 699 Nov 6, 2014 #23 Dini zishakuwa business siku hizi....Watu wanachotafuta ni ulaji..... Unachezea hadi Jamaa wa Original Komedi anataka kuwa Pastor Andunje Mdogo said: Duh,hivi ni kweli,je HAKUNA MASKINI WA KUWASAIDIA HUKO NIGERIA!!!!! Click to expand...
Dini zishakuwa business siku hizi....Watu wanachotafuta ni ulaji..... Unachezea hadi Jamaa wa Original Komedi anataka kuwa Pastor Andunje Mdogo said: Duh,hivi ni kweli,je HAKUNA MASKINI WA KUWASAIDIA HUKO NIGERIA!!!!! Click to expand...