Richie: Bongo Movie Kuna mashoga

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Ametangaza kujiondoa kwenye bongo movie unity kisa umoja huo unahusisha mashoga pia.

Source:mwanaspoti.
 
Hahhhhahhhha ayaaaa au ye ndio shoga wamemtimuaa kaona ajiwahiii
 
[h=1]AIBU...!! NDANI YA BONGO MOVIES KUMBE KUNA MASHOGA..??[/h]


IMEBAINIKA kuwa ndani ya tasnia ya filamu Bongo kuna baadhi ya wasanii wanaofanya mapenzi ya jinsia moja yaani mashoga,
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vilivyomo ndani ya kundi hilo, baadhi ya wasanii wa kiume wanadaiwa kuwa ni mashoga, ingawa wanajifanya vidume vya mbegu. Β“Wapo mashoga na mabwana zao tunawajua ila sema sasa kwa sababu huna ushahidi wa moja kwa moja na hujamfuma kwenye tukio, unashindwa kumtaja,Β” alisema msanii mmoja wa kike, Bongo. Β“YuleΒ…(analitaja jina la msanii mkubwa) bwanaΒ’ke alifariki na sasa ana mwingine lakini ndani ya Bongo Muvi anaonekana kiwembe kwa sababu ana msururu wa wanawake,Β” alisema. AMSHAURI JK
Β“Ingekuwa vyema sana kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete akafanya kama alivyofanya mwenzake wa Uganda, Yoweri Museven katika kupiga vita ushoga,Β” alipendekeza msanii huyo.
Msanii mwingine wa kike ambaye amekuwa kwenye tasnia hiyo tangu enzi za makundi ya sanaa kutamba runingani (jina kapuni) naye alikiri kuwepo kwa ishu hiyo lakini akadai wanafanya kwa siri sana. Β“Kuna wasanii wanaonekana watanashati mbele ya jamii lakini ni chakula ya watu kwa kuwa wanapenda sana vitu vya bure,Β” alisema msanii huyo na kuongeza: Β“Wapo wengi tu ndiyo maana katika maisha yangu sijawahi kutoka na mwanaume wa Bongo Muvi, ni wachafu sana. Siku zote wasanii wa kike ndiyo tunaoambiwa kuwa ni malaya, eti tuna tamaa na habari nyingi zinatuchafua siye lakini ukweli ni kwamba hata wanaume wana tamaa ya maisha mazuri na mwishowe wanageuzwa wanawake.Β” HUYU YUPO TOFAUTI NA WENZAKE
Β“Sikia nikuambie, ni kweli hili suala lipo lakini si kwa wote na kuna baadhi huwa wanasingiziwa tu. Unajua nini? Unaweza kukuta mtu ana tabia tu ya kujipenda, lakini wengine wanasingizia kuwa eti ni mashoga Β– siyo kweli.
Β“Mfano hata uje na greda hapa, akitokea mtu anazungumza upuuzi eti JB, Dk. Cheni, Ray, Hemed PHD, Mlela au Dude ni mashoga, nitabishana nao mpaka mwisho. Hao ni watu ambao wanajipenda tu, sasa ukiwahusisha na huo ujinga nitashangaa sana. Sisemi kuwa wanatajwa ila sasa akitokea mjinga akaja na hoja hiyo, nitabishana naye,Β” alisema msanii mmoja ndani ya Bongo Muvi. Msanii Hisani Muya Β‘TinoΒ’ aliwahi kuigiza kama shoga na kusababisha minongΒ’ono kwenye jamii, katika filamu aliyoipa jina la Shoga lakini ilizuiwa na serikali. Mwingine ni Dk. Cheni ambaye amecheza kama shoga kwenye filamu yake ya Nimekubali Kuolewa, ingawa bado haijatoka mpaka sasa. Msanii huyo akizungumzia hayo, alisema: Β“Kucheza filamu kama shoga hakuna maana kuwa kweli ni shoga, ni kuvaa uhusika tu. Watu wasiwahusishe wasanii walioigiza kama mashoga kwenye hii skendo,Β” aliweka nukta msanii huyo mwenye maneno mengi. WASIKIE WENYEWE
Baada ya kupata taarifa hizo, waandishi wetu waliwatafuta baadhi ya wasanii wa kiume Bongo wanaotesa na kuwauliza kuhusu ishu hiyo (wasanii hao hawamo kwenye orodha tuliyonayo).
Wa kwanza kuzungumza alikuwa ni Mahsein Awadh Β‘Dk. Cheni ambaye alisema: Β“Miye sina la kusema kuhusu hilo, ni vyema kama utamtafuta mwenyekiti (Bongo Movie Unity, Steve Nyerere) ndiye mwenye mamlaka ya kuzungumza masuala kama hayo.Β” KULWA KIKUMBA Β‘DUDEΒ’
Β“Hilo suala la ushoga ndani ya Bongo Muvi lipo hata miye nalisikiasikia, lakini halina uthibitisho ila kusemwa linasemwa sana.Β” STEVE NYERERE
Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere Β‘Steve NyerereΒ’: Β“Ni kweli taarifa hizo zipo, wasanii wakishakunywa pombe huwa wanafanya mambo ya ajabu sana kuashiria tabia zao halisi, mimi kama mwenyekiti wa Bongo Movie huwa ninaumia sana. Β“Nitahakikisha nawafukuza mashoga wote hata kama tutabaki wawili katika kundi letu, bora wawe na heshima.Β” MWAKIFWAMBA SASA Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Β‘TAFFΒ’, Simon Mwakifwamba: Β“Hiyo ishu ni kweli ipo, ndani ya Bongo Muvi, mashoga wapo wengi sana, ila bado hatujapata ushahidi wa kuweza kuwataka hadharani.Β”
gpl
 
Kwa hiyo wanashindana na dada zao wa Bongo movies kukamata mapedeshee.?
 
Kuna sura ukiziangalia Bongo movies zina utata sana.
 
Kumekucha ngoja hii series iendelee km epsode zijazo wahamie ubongo wa fuleva.
 
Huwezi kumuita mwenzio mchawi kama mwenyewe sio mchawi.
 
Kuna Jamaa yuko Vodacom kashatafuna wawili Bongo movie..

The greatest analiwa kitambo tangu akiwa anacheza ngoma..
 
Teh tehe bongo bwana, kuna watu wanajua kuhukumu tu wenzao,lakini hawatazami yao,kuna watu wanajua kuchafua wenzao tu lakini yao ni zaidi ya shetani,ni bora kukaa kimya ikiwa huna hakika na kitu
 
Hajasaidia kitu kama anashindwa kumtaja shoga ni nani na tutegemee kesho kuna member mwingine wa bongo movie atakaekuja kujibu tuhuma hizi hakuna atakaetaka kuchafuliwa jina hata kama ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…