Dah mkuu umeua BELEWEA tenaAlikiba ni mkubwa kuliko hiyo pombe yenu ya belewea
Dah mkuu umeua BELEWEA tena
Umeanza lini tabia ya ujeuri kwa King ambae hajapewa u-King na yeyote?!Wakati huyu ana bifu na Rick Ross mwingine ana bifu na Baraka Da Prince.
Heee[emoji23] [emoji23] [emoji23]Au kamshtukia kuwa ni CCM
Haaa haaa eti uchafuuRick Ross kaamua kutoa uchafu kwenye IG Yake.