Rick Ross anunua APC (Armoured Personnel Carrier)

Rick Ross anunua APC (Armoured Personnel Carrier)

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Wanasema mchawi pesa aisee. Wakati mtu unapambana upate hata ka corolla namba A, Bwana Erick MwaiRoS (Rick Ross) ameonesha umwamba baada ya kununua gari ya kijeshi Aina ya APC. Sasa sijui la kazi gani kwa huyu mwamba.


CAR%20SHOW%2030%20DAYS%20AWAY_%20_rickrosscarshow%20www.RICKROSSCARSHOW.com%20------__MY%20TAN...JPG


[emoji2][emoji2]



[emoji2][emoji2]
Screenshot_2022-04-24-20-06-18-959_com.instagram.android.jpg
Screenshot_2022-04-24-20-06-18-959_com.instagram.android.jpg
Screenshot_2022-04-24-20-06-48-791_com.instagram.android.jpg
 
huyo ni Eric Mwakalosi, ila ka slang kamemsaidia kupata neno Rick Ross
 
Mchawi Pesa.

Mi mkwanja ukanikalia vizuri, naweka ndani hiki kidude:

D7D70C24-43A9-4600-99DC-1BDF7C1BA017.jpeg
 
Hiyo APC ipo mounted na weapons zake? APC bila weapons sio APC,sheria zipoje kwa wenzetu mtu kumiliki silaha za kivita kubwa kubwa?
 
Back
Top Bottom