Kuna msemo au falsafa ta kiuchumi kuwa jinsi kipato kinavyoongezeka ndipo pia matumizi yanaongezeka. Kwa upande wa Rozay kipato chake bila shaka kitakuwa kikubwa kwa sasa. Na source zake za kifedha ni kupitia mikataba yake na Reebok,ciroc,movies n.k
Jamaa anamiliki migahawa ya Wingstop. Anamiliki label ya muziki,kinywaji. Na pia mikataba mingi mikubwa.