Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
Waswahili wanasema "Pesa ni Sabuni ya Roho" na wengine wanasema "Pesa ndio furaha ya kweli".
Rapa Rick Ross amedhihirisha hilo baada ya kuvunja Mjengo wake wenye thamani ya $35M sawa na Bilioni 88+ za kitanzania na kuanza kuujenga upya.
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Rapa Rick Ross amedhihirisha hilo baada ya kuvunja Mjengo wake wenye thamani ya $35M sawa na Bilioni 88+ za kitanzania na kuanza kuujenga upya.
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️