Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
situlikubaliana nyie mnaangalia helaa tuu?Umbo lake huyu jamaa ni kama halina mvuto kidogo eti?
๐๐๐ndiyo Mkuu๐situlikubaliana nyie mnaangalia helaa tuu?
๐๐acha ukorofi bhana๐Umekwisha tamani, aisee ila mtaendana
Hela zake sasa ndo electromagnetic kabisaUmbo lake huyu jamaa ni kama halina mvuto kidogo eti?
๐ana mapesa huyo balaaHela zake sasa ndo electromagnetic kabisa
hahaha pesa ndio kila kitu kitu mnasemaga wenyewe ,๐๐๐ana mapesa huyo balaa
Ivo yaan๐hahaha pesa ndio kila kitu kitu mnasemaga wenyewe ,๐๐
hela mbaya sana Kuna mwanangu alikua anaruka na lishangazi lina mandevu kama Rick Ross ila Lina mapene balaa likawa linamtumikisha mwana kingono ๐๐Ivo yaan๐
Na unapelekeshwa mbaya ukifanya mtamu๐ siye mashangazi ni nomahela mbaya sana Kuna mwanangu alikua anaruka na lishangazi lina mandevu kama Rick Ross ila Lina mapene balaa likawa linamtumikisha mwana kingono ๐๐
Halafu huyu jamaa atakuwa mnyaki wa U.S๐๐acha ukorofi bhana๐
Sio wallet yake ilichangia hilo... (natania tu )....๐๐kuna mrembo wa ki tz alilizimikia akafa akaozea hapo. Huyo mrembo ni mrembo hasa alilipenda umbo la rick ross