Ridhiwan Kikwete kuongoza mahafali ya seneti mkoa wa Morogoro, Juni 8

Ridhiwan Kikwete kuongoza mahafali ya seneti mkoa wa Morogoro, Juni 8

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb) Mhe. Ridhiwani Kikwete atakuwa Mgeni rasmi kesho Jumamosi Juni 08, 2024 kwenye Mahafali ya Vyuo na Vyuo Vikuu Seneti ya Mkoa wa Morogoro katika Chuo cha Jordan kwenye Ukumbi wa Jordan Hall.

📍08 June 2024
📍 JORDAN HALL

IMG-20240607-WA0003.jpg



FREE FOOD🥘,FREE DRINKS🥂, FREE TRANSPORT🚎

USIPANGE KUKOSA!
 
Back
Top Bottom