Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhiii huyu huyu aliyefukuza watu pale nchicha na kuweka bandari yake kavu immediately baada ya Magufuli kufariki
Mchawi anapiga vita uchawi
Aanze na baba yake kwanza
Huenda anawaasa wanaomwibia yeye na mzazi wakehuyuu akae zake kimyaa. RIZ ONE na UADILIFU wapi na wapi.
Ngada vp hailipi tena sk hz? Hii ni familia ya majizi. Nyerere alimshtukia babaye zamani!
Ridhwan unaweza kuwa unaongea Kiswahili lakini wengi hawakuelewi.
Unaelewa maana ya neno "uadilifu"?Ukistaajabu ya musa utaona ulaghai wa tabasamu la familia ya msoga.