Ridhiwani,kanilipie na mimi

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Kwa nafasi yako,utajiri wako haramu na kufanya kazi kwako,tafadhali utakapokwenda kulipa deni lako la pale Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu,ukanilipie na mimi.Ifahamike kuwa Ridhiwani Kikwete amehitimu tangu 2005.

Fedha ulizotuibia na unazoendelea kuiba zitumie ipasavyo.Lazima ukanilipie.Vinginevyo utajuta kuwepo kwenye orodha ambamo nami nimo..
 
Mkomalie fisadi mtoto huyo...Kaka Mwasaasha
 
Hana mpango wa kulipa huyo,kwanza hakuna wa kumgusa wanamuogopa kama nini Mwana wa Mfalme.
 
Mie silipi hiyo hela hata kidogo,kwanza wakinikata hela itabidi tufatilie ile hela ya epa yote imeenda wapi?
 
Bodi yaweza kulipwa na Rostam na Lowassa pekeyao kwa mihela waliyotuibia
 

Mkuu wewe ni he/she? Maana kuna vitu vingine ukishalipiwa sijui utadaiwa sijui kama utaweza kulipia kama atakavyotaka yeye
 
Vipi watoto wa lowasa hawajawahi kuchukua? Kama washawahi wamelipa?
 
Duhu, ustaadh na ndevu zote hizo wataka kulipiwa? astaghfurllahi
 
Mkuu mkomalie uyo fisadi alipe pesa na sisi ndo tutalipa la sivyo patachimbika.
 
jamani kalipeni hzo hela! kuna fomu za uraia zinakuja isijebaniwa mtu kadi y uraia kisa deni la HELSB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…