Ridhiwani Kikwete kachukizwa na kitendo cha Nape kumpa bendera Diamond Platnumz?

Huwezi jua Mkuu maana hakuna sababu ya huyu kununa. Yeye anaathirika vipi kwa DP kupeperusha bendera yetu !?

Au diamond alimchukulia dem wake nini?
 
Kiongozi makini asingempa Diamond bendera yetu ya taifa.Afterall who is Diamond representing,the dark forces?
Mbona Una Judge sana Do you have Proof? Huyo ni ICON wa Taifa au Hujui

Mpira Hatuwezi Tumebakia Yanga Na Simba Tu
 
Truth be told, Mimi mwenyewe nilijiuliza sana kuhusu hili. Bendera huwa wanapewa wanaoenda kuwakilisha taiga katika shindano flani. Sasa inakuwaje anapewa mtu anayeenda just kutumbuiza washinda husika wakati yeye si mshindani???

Anyways, tuna thinking capacity tofauti.
 
Bendera kama emblem ya Taifa haitolewi kwa footballers pekee na Mh Nape sio waziri wa mpira wa miguu pekee bali michezo kwa ujumla hivyo michuano ya CHAN inahusisha burudani ya muziki na Diamond kualikwa kama mburudishaji Ni heshima kwa Taifa
.


Heshima Kwa Taifa lipi?? Hivi Muonekano (Appearance) Ya Diamond Ndiyo Mila na Heshima Ya Watanzania (Taifa)?
Hivi Taifa la Tanzania Limekuwa Taifa la Milegezo na Ndomana Linawakilishwa Na Milegezo Mwenzao??
Unamaanisha Taifa la Tanzania ni La Wasalome ndomana Wanawakilishwa na Bingwa Wa Salome??
Wacha Kuifananisha Tanzania Na Watu Wakiajabuajabu...... labda wewe ndiye anayekuakilisha..
 
TZ FOOTBALL FAILURES
Ok..
Sasa ile wizara ni ya Utamadunina na Michezo kupewa Bendera ya Taifa (Nassibu)sio tatizo kwani anaiwakilisha sanaa na utamaduni...
Kutokana na Soka la Bongo kuto fanya vzr kweney medali za kimataifa aidha kwenda na kuishia njiani au kuto kwenda kabisa tusitufanye tukaegemea upande mmoja tuu.Kukitokea nafasi kama hizi wacha tuzitumie na kwa hii Mada Riz 1 alibandika changamoto kwa upande wa TFF wajitahidi ili nao waipeperushe Bendera..
Si zani kama alikuwa na wivu au dhana mbaya..
 
Mimi sijui Tanzania mnataka nini?

Hivi mbona sijawahi kiwasikia marekani wakiwasimanga kina Shakira world Cup?

Kwani wakati wa fanali za Euro 2016 ,wafaransa hawakumsimanga yule mfaransa mtengeneza beat(jina nimesahau)
Kina Shakira walipewa bendera!!!!
 
Anaposema bendera badala ya kupewa wanamichezo wanapewa waburudishaji sijaelewa! Kwani wanamichezo sio waburudishaji?
Natumaini jamaa akitumbuiza vizuri Viwango vyetu kwenye FIFA vitapanda.HAHAHAHAHA
 
Naona wengine wanaicheka Taifa Stars kwa kuishambulia TFF japo hakuna anayesema tumeenda mara ngapi huko katika miaka 35 iliyopita.
Nimeona uzi hapa juu ya Millard Ayo kuwa mtangazaji wa mashindano hayo lakini sijaona anayeuliza tratibu za kumpata zilikuwaje na alishindanishwa na nani! >>>CAF yamteua Millard Ayo kuripoti moja kwa moja michauno ya AFCON2017 kutoka Uwanjani
Tusichoelwa ni kuwa wenye akili zao wako kwenye biashara na sisi tunaingia kwenye kuwafanyia promo bila hata kung'amua.
Hebu angalia hiyo picha ya kukabidhi bendera, kuna banner ya DSTV ambao nao wanadhamini mashindano hayo. Kwa hiyo lililo wazi ni DSTV wanamtumia waziri kuboost biashara zao. Kumbuka wakati Mbwana Samatta anaagwa kilichoonekana kwenye background ni nembo za serikali tu! Kwa lugha nyepesi mnadhani waziri ndiye aliorganize hii au DSTV ndio waliorganize na 'kumtumia' waziri!?
Hii ni ngoma ya DSTV katika kupenya soko la bongo ambalo kama mnavyojua competitors wao azam na startimes nao wanashika kasi hivyo tufurahie kwa staha, tusipostuka tutaendelea kutumiwa hadi mwisho wa dunia.
 
Khaaa this is too Much sasa. Kila kona Diamond bendera. Sema hili lijamaa sijui lina kizizi cha aina gani kila kitu likifanya linaacha gumzo mitandaoni.
 


Kayasema Hayo Kwenye Account Yake Ya Instagram...

Je Ni chuki?.... Kutomkubali Nape ?.. kutomkubali Diamond au Basi Tu
Maoni yake kama mdau wa soka,maoni hayo yametolewa na mtanzania mmoja jana nilimsikia akihojiwa EFM
 
Yuko sahihi hapa tuweke siasa pembeni wenzetu wanaenda kucheza mpira sisi tunaenda kucheza music (kukata mauno) kwani AFCON ni mashindano ya music?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…