naona unatafuta views mkuu , kazana
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ameponda Diamond na Ali Kiba kuwa na bifu akisema zinaweza kusababisha madhara makubwa akitolea mfano bifu ya Tupac na notorious big
Pia amesema mzee wake anapenda muziki lakini wa zamani ila wasanii wa bongo flava alikuwa akikutana nao kwa kuungabishiwa na yeye
Kwani ukiwa na taaluma ya sheria basi moja kwa moja ndo unakuwa na akili? Moja kwa moja ndo unakuwa genius? Moja kwa moja ndo unakuwa na common sense? Moja kwa moja ndo unakuwa mtema mipointi ya nguvu?Yeye anaongea kama Nani? Hizi shule za law zipo sawa kweli? Huyu ana taaluma ya sheria kama sikosei! Ile show ya dumbest kid
Riz moko namkubali sana, ila najiulizaga tu kama kweli Miraji alimfikishia Cv yangu, maana si kwa msoto huu kitaa
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ameponda Diamond na Ali Kiba kuwa na bifu akisema zinaweza kusababisha madhara makubwa akitolea mfano bifu ya Tupac na notorious big
Pia amesema mzee wake anapenda muziki lakini wa zamani ila wasanii wa bongo flava alikuwa akikutana nao kwa kuungabishiwa na yeye
Mkuu sipingani na hoja. Sipo kubishana Mkuu. Nami Mungu kanijalia uwezo wa kufikiri na kutoa mawazo.Kwani ukiwa na taaluma ya sheria basi moja kwa moja ndo unakuwa na akili? Moja kwa moja ndo unakuwa genius? Moja kwa moja ndo unakuwa na common sense? Moja kwa moja ndo unakuwa mtema mipointi ya nguvu?
Mimi kila siku nakutana na wanasheria kibao tu watema pumba.
Taaluma ya sheria haimfanyi mtu awe na akili wala hekima na busara za ziada kushinda wengine.
Ushawahi kumsikia Dr. Mwakyembe akiongea?[emoji23] [emoji23]
Basi ungenipuuza tu.Mkuu sipingani na hoja. Sipo kubishana Mkuu. Nami Mungu kanijalia uwezo wa kufikiri na kutoa mawazo.
Naona anajiupdate maana anpotea sana kwa media nae
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ameponda Diamond na Ali Kiba kuwa na bifu akisema zinaweza kusababisha madhara makubwa akitolea mfano bifu ya Tupac na notorious big
Pia amesema mzee wake anapenda muziki lakini wa zamani ila wasanii wa bongo flava alikuwa akikutana nao kwa kuungabishiwa na yeye
siasa imekuwa ngumu....Anatafuta pa kutokea
Sijui utaambia nini watu wewe😝😝😝siku hizi bila diamond hamna kiki