Idara ya uchunguzi wa makosa ya jinai DCI nchini Kenya imemwagiza naibu Rais Rigathi Gachagua kujiwasilisha katika makao makuu ya idara hiyo jijini Nairobi kuandikisha taarifa kuhusu madai ya jaribio la kumuua mara mbili na watu anaosema ni maafisa wa idara ya ujasusi NIS.
Soma Pia: Gachagua: Nimekutana na majaribio mawili ya kuuawa wa sumu
Soma Pia: Gachagua: Nimekutana na majaribio mawili ya kuuawa wa sumu