Rigathi Gachagua: Rais Ruto alinipa Ksh Bilioni 2 ili nijiuzulu. Aliniambia naweza kugombea Urais mwaka 2027

Rigathi Gachagua: Rais Ruto alinipa Ksh Bilioni 2 ili nijiuzulu. Aliniambia naweza kugombea Urais mwaka 2027

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Akizungumza hivi karibuni kwenye mahojiano, aliyekuwa makamu wa Raiswa Kenya, Rigathi Gachagua amesema kuwa alishapewa Ksh Bilioni 2 na Rais Ruto ili ajiuzulu nafasi yake ya Umakamu.

"Ruto aliniomba nijiuzulu, na kuniahidi KSh2 bilioni. Aliniahidi na ulinzi wa kutosha na marupurupu mazuri. Pia alipendekeza kwamba naweza kugombea nafasi nyingine serikalini katika siku za usoni," Gachagua anasema.

Soma pia: Yanayojiri Bungeni Kenya: Wabunge 281 wapiga kura ya kumuondoa madarakani Gachagua

Gachagua pia alidokeza kuwa alihimizwa akubali ofa hiyo kutoka kwa wabunge kadhaa ili kumwepusha na mchakato wa kumng’oa madarakani na hatimaye aweze kugombea nafasi ya urais mwaka 2027.

Source: Buzzrom Kenya
 
Wakuu,

Akizungumza hivi karibuni kwenye mahojiano, aliyekuwa makamu wa Raiswa Kenya, Rigathi Gachagua amesema kuwa alishapewa Ksh Bilioni 2 na Rais Ruto ili ajiuzulu nafasi yake ya Umakamu.

"Ruto aliniomba nijiuzulu, na kuniahidi KSh2 bilioni. Aliniahidi na ulinzi wa kutosha na marupurupu mazuri. Pia alipendekeza kwamba naweza kugombea nafasi nyingine serikalini katika siku za usoni," Gachagua anasema.

Soma pia: Yanayojiri Bungeni Kenya: Wabunge 281 wapiga kura ya kumuondoa madarakani Gachagua

Gachagua pia alidokeza kuwa alihimizwa akubali ofa hiyo kutoka kwa wabunge kadhaa ili kumwepusha na mchakato wa kumng’oa madarakani na hatimaye aweze kugombea nafasi ya urais mwaka 2027.

Source: Buzzrom Kenya
View attachment 3224719
 

Attachments

  • 1737307857896.jpeg
    1737307857896.jpeg
    666.9 KB · Views: 3
  • 1737307857896.jpeg
    1737307857896.jpeg
    666.9 KB · Views: 2
Hela ndogo sana billion 40 za kibongo. Gachagua ni billionea. Maybe billion 200
 
Back
Top Bottom