Right duty driver position

Mr kaunga

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
9
Reaction score
14
Habari zenu wana familia ya jamii Forums ndugu yenu nna shida naimani naweza pata msaada kupitia nyinyi mimi kitaaluma ni dereva na nina driving licence yenye daraja A B C1 C2 C3 D E na nilisoma NIT mwaka 2013 kozi ya ADVANCED DRIVING GRADE TWO (VIP) Ndugu zangu naomba mnisaidie kupata kazi kokote iwe kumuendesha mtu binafsi, serikalini au gari za uber na bolt kwa hiii biashara nikipata gari ya mkataba itakua vizuri zaidi kwakua nilizifanya sana nnauzoefu nayo na app bado ninazo mawasiliano yangu ni +255 653 777 640 kwamazungumzo vizuri.





 
Ndio nnaombaga ila kazi bila kushikwa mkono ni ngum kupata iwe bahati nasibu yako maana nafasi nyingi za madereva zikitoka ni 3 au 1 na wengi tunaombaga ingawa changamoto kubwa ni cheti cha form four mimi nna leaving certificate.

Kwa nini hauna cheti kimepotea au hukufanikiwa kufaulu...?
 
Ndio nnaombaga ila kazi bila kushikwa mkono ni ngum kupata iwe bahati nasibu yako maana nafasi nyingi za madereva zikitoka ni 3 au 1 na wengi tunaombaga ingawa changamoto kubwa ni cheti cha form four mimi nna leaving certificate.
mkuu nilitaka nishangae VIP ya 2013 uswe na kazi aisee .
Bila form four apo Ni uongo Kaka
 
Huwa unaomba nafasi za kazi zinazotangazwa na mashirika binafsi au serikalini?
Haswa binafsi ila ila kazi bila kushikwa mkono au kuinunua ni ngum kupata maana naombaga sana ata kwenye interview auitwi na sehem nyingi situmi kwakua wanatakaga 4m4 certificate
 
Hahaha ndio hivyo mkuu ila wapo washkaji wamepita bila 4m 4 walinunua nafasi sijui walishikwa mikono sijui muhim nguvu ya mtu iwepo.

Kama ni washkaji kwa nini usiongee nao wakupe muongozo walinunuaje nafasi I'll nawe upitie humo humo aisee...?
 
Kaka washkaji tulikutana chuo sasa siunajua mambo ya ahadi subiri kuna mtu nitakuunganisha nae atimayake jii

Okay, basi sawa kuna tangazo nimeliona sehemu jamaa anatafuta dereva wa nyumbani kwa ajili ya kupeleka madogo shule na kuwarudisha.

Aliacha namba yake ngoja nikutumie pm.

NB :

HUYU MTU SIMFAHAMU WALA SINA UHUSIANO NAE, HIVYO BASI UKIHISI HARUFU YOYOTE YA UTAPELI AU KULIPIA CHOCHOTE NAKUOMBA UACHANE NAE NDUGU YANGU. AHSANTE.
 
Sawa ndugu yangu nisaidie kunitumia iyo no: yake then nitafanya kama ulivyo niambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…