Rihana atembeza kichapo kwa jamaa aliyemshika makalio bila hiari yake

Rihana atembeza kichapo kwa jamaa aliyemshika makalio bila hiari yake

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
clip_image003_thumb2.jpg



Hii ni Fundisho kwa Wanaume woote mliopo JFwanaopenda kuwasumbua wanawake walio na mvuto na Maumbile ya kuvutia, Mrembo Rihana ameweza kuwawakilisha wanawake wasiopenda udhalilishaji wa namna hii kwa Kumtandika Makofi Mwanaume aliyejitokeza kumshika Makalio Kwa nyuma.






 
Naona kuna njemba hapo nyuma anafatilia kwa makini kitakachojiri nadhani ndio maana akapata nguvu ya kumpiga sijajua ni wapi hapo ila angekutana wazee wa kazi wa Brooklyn sidhani km angegeuka ata kuangalia sura.
 
Naona kuna njemba hapo nyuma anafatilia kwa makini kitakachojiri nadhani ndio maana akapata nguvu ya kumpiga sijajua ni wapi hapo ila angekutana wazee wa kazi wa Brooklyn sidhani km angegeuka ata kuangalia sura.

Angekuwa nigga alioshika angepotezea
 
Tatizo akumshika tu ---- kaingiza vidolekusikofaa Kama anapima ubora wa Mafuta ya ndege
 
Anapunguza machungu ya kipigo cha Chris
 
Bora amemshikisha adabu, wanaudhi hao watu. Tena mwingine anakukaribia kujifanya mnapishana ili tu mkono ukuguse mapaja au makalio. Hata haya hawana.
 
hii ilipangwa tu...

i dont trust celebrities at all.

imagine mtu kama chameleone eti ashindwe kulipa kodi ya 4 million wakati anamiliki assets za maana!

these people create stories ..
 
kwanza rihanna hana ---- la kushikwa..

jamaa alihangaika sana kulitafuta!!

mbona ingekuwa snura jamaa angefaidi sana!!
 
Back
Top Bottom