Rihanna?!? kivazi kinavaliwaje hiki?

Nahisi katakuwa na zipu mgongoni aiseee, manake bila hivo,
Sijui kanavaliwa je.
 
Nimezimika ghafla na huu ubachelor tabu gete.
 
Hicho kivazi kinaitwa kinyelamumo.

Thanks mkuu, I was about to comment the same, kanyelamumo yaani maana yake jinyee humohumo ha ha ha! kwetu huwa tuna wavisha watoto wadogo wanapenda kujisaidia bila kutoa notice!
 
FL1, habari za masiku mpendwa?? Kaa vizuri basi.... Baba Askofu hapendiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…