Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
Naona mila inazidi kudumu imefika ratio ngapi 1:5 or 6 or 7 teh teh teh! be carefull maana nina wivu mie hata mate siwezi meza.hehehe,
jojipoji taratibu,
wameanza kuni piemu hapa wanadhani unalolihubiri ni kweli kumbe ni mambo ya KEYBOARDπ
--EE MUNGU BABA WA REHEMA ZOTE,nakuomba unisaidie nifike 13/02/2010.IMANI YANGU NI NDOGO SANA BABA,NAOMBA UNIBEBE KWA IMANI YAKO!
--SHETANI TOKAAAAA!..........
huu ni mwaka wa bia tu, uwiiiiiii.GP unaenda wapi na hiyo chupa?
Ulipata ile kazi bruwariz nini? maana naona mwendo mdundo.huu ni mwaka wa bia tu, uwiiiiiii.
HEHEHE!Naona mila inazidi kudumu imefika ratio ngapi 1:5 or 6 or 7 teh teh teh! be carefull maana nina wivu mie hata mate siwezi meza.
Naona mila inazidi kudumu imefika ratio ngapi 1:5 or 6 or 7 teh teh teh! be carefull maana nina wivu mie hata mate siwezi meza.
HEHEHE!
don't tell me we ndo ANNINA!KWAMBA WEWE UNA AIDII MBILI KAMA WAKINA NANIHIIπ
halafu pi-emu zangu hujibu....Yamekuwa hayo tena hee hee hee!!! sore teh teh teh!
Thanks ni vijimambo 2................Lily Flower, Karibu kwenye maombi!
Annina
Au utakuwa unakosea jina si unajua tuko wengi.halafu pi-emu zangu hujibu....
kwanin?
unataka nikutongoze upya hadharani?
hehehe!Au utakuwa unakosea jina si unajua tuko wengi.
HEHEHE!
don't tell me we ndo ANNINA!KWAMBA WEWE UNA AIDII MBILI KAMA WAKINA NANIHIIπ
sasa ulipaswa kunipi-emu ili UDUMISHE MILA NA MIMI!...hasa ukizingatia ninazungumzia siku 36 kabla ya kuachana na hii mambo.i need to do it MORE AND MORE AND MORE............!Geoff, Jana nilipewa nafasi ya kudumisha MILA baada ya kuomba ushauri juu ya wivu nilionao (naamini vigezo vilizingatiwa), labda Lily Flower amegundua wivu ni ticket itakayomfikisha huko - anataka kuwa sehemu ya takwimu za kudumisha MILA!
Annina
Thanks ni vijimambo 2................
mpwazzz HE huyo, stuka shauri yako.halafu pi-emu zangu hujibu....
kwanin?
unataka nikutongoze upya hadharani?
namsaidia kujibu!kwasasa lengo ni takwimuKama una wivu kama wangu huko kwenye kudumisha MILA hapakufai... labda kama lengo ni takwimu!
Kumbe unajua what r u weiting fo.hehehe!
mke mdogo sio rahisi kukosea...!
sema wewe tu hutaki kunijibu
lakini nimezoea,mara nyingi wake wadogo wanapenda kubembelezwa!
hehehehe!IT CAN'T BE...mpwazzz HE huyo, stuka shauri yako.
sasa ulipaswa kunipi-emu ili UDUMISHE MILA NA MIMI!...hasa ukizingatia ninazungumzia siku 36 kabla ya kuachana na hii mambo.i need to do it MORE AND MORE AND MORE............!
PLEASE NAOMBA UDUMISHE NA MIMI BASI TENA
hahaha!Geoff naona unanitafutia balaa, wewe nitakubadili vingapi? nadhani mpaka keyboard yako...
Unaogopa nini G, mwaga sera hadharani, we mtoto wa kiume usione aibu, na ukishindwa tutakusaidia maneno mazuri ya kumconvice hapahapa πhalafu pi-emu zangu hujibu....
kwanin?
unataka nikutongoze upya hadharani?