Ringtone ya simu.

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2013
Posts
3,564
Reaction score
1,991
Jamaa yupo kwenye msiba wa dada yake, wakati jeneza linatolewa ndani watu wote msibani walikuwa wakilia. Mara simu ya Jamaa ikaita kwa ringtone ya
dada huyoo anaolewaa, dada huyoo anaolewaa, mahali kishatolewa, mahali kishatolewaa x5. Jamaa kuzima simu anashindwa maana kabeba jeneza na simu inaendelea kuita.

Kilichoendelea mi sijui!
 
[emoji1] [emoji1] wewe mzima kweri?
 
Hahaahahaaaa
 
Hizo kiki za kitoto peleka kwenye magroup ya facebook mtu huwez kubeba jeneza lenye mwili wa dada ako hizo nguvu unaztoa wap unles kama mlikuw mnashutu sce ya ze komedy
 
Hizo kiki za kitoto peleka kwenye magroup ya facebook mtu huwez kubeba jeneza lenye mwili wa dada ako hizo nguvu unaztoa wap unles kama mlikuw mnashutu sce ya ze komedy

Wewe unaonekana bado mgeni kama hujui maana ya hili Jukwaa toka humu hapakufai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…