Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wakati dada zetu na bibi zetu maarufu hapa bongo Tz wakigombania wakongo na kunyang'anyana kama sukari iliyofichwa,upande wa pili kaka zetu nao hawapo nyumaa kwenye madanga ya ulaya ulaya
Inasemekana etiiiii yule modo maarufu hapa nchinii Rio kanyakuliwa danga lakeee na ......... huyu hapa pichanii
Danga lenyewe la ulaya ulaya hili hapaaa likiwa na mnyakuaji wa kimataifa
Sasa Rio huko ulipo pole utapata danga lingine hata mkongo tu chukua maana nyie nao mshashindikana mtakuja kutuibia hadi waume zetu ila ndio hivyo wanaume wa Daslam ndio mambo yenu hayooo,tumuombee Rio apone na maumivu makalii cc warumi
Inasemekana etiiiii yule modo maarufu hapa nchinii Rio kanyakuliwa danga lakeee na ......... huyu hapa pichanii
Danga lenyewe la ulaya ulaya hili hapaaa likiwa na mnyakuaji wa kimataifa
Sasa Rio huko ulipo pole utapata danga lingine hata mkongo tu chukua maana nyie nao mshashindikana mtakuja kutuibia hadi waume zetu ila ndio hivyo wanaume wa Daslam ndio mambo yenu hayooo,tumuombee Rio apone na maumivu makalii cc warumi