Ukiona huelewi jua havikuhusu,ona vinavyowahusu wanavyotiririka.Duh nimeambulia patupu sijaelewa. Ngoja niendelee kusoma comment nitaelewa.
Tabu tupu hahaha Dunia hadaa......Washakosanaaa shoga angu
Wakuelekeze njia ya Makapuku ukifika huko utaelewa tuDuh nimeambulia patupu sijaelewa. Ngoja niendelee kusoma comment nitaelewa.
ulimwengu shujaaaTabu tupu hahaha Dunia hadaa......
Khaaaaa kweli wanaume wanazidi kupotea. Mungu bariki matumbo yetuDina ngoja nikwambie hajaporwa ni hivi rio ndo alianza na uyo mzungu akapangishiwa masaki, badae uyo mzungu akawa anamtaka noel na kumwambia rio ikabdi rio amwambie mzungu sbbu ye na noel ni marafiki wakae wote kwenye nyumba uku wote ana wahudumia mzungu kukubali sasa sijui kama waligombana
Acha Mama Mungu abariki sana vizazi vyetu uyo rio kwao wanahela hatar baba ake alivyojua ni shoga alimtolea bastola ndo kukimbia kwao kimojaKhaaaaa kweli wanaume wanazidi kupotea. Mungu bariki matumbo yetu