Rio aporwa bwana na rafiki yake

aiseeee[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji85] [emoji85] [emoji85] mi nilijua ye ndo mzima?!!
 
SI BURE NA WEWE NI MEMBA
 
Ndo mana Baba alinikataza mambo ya Mitindo aisee bora nipate Tangazo la Coca cola kuliko kwenda Jukwaani haha
 
we uko wapi heee..humjui Marti.... wewe....si kama huyoRio tu
 
Khaaaaa kweli wanaume wanazidi kupotea. Mungu bariki matumbo yetu
ndio maana vidume wahache tuliobaki tunatakiwa tuongeze kasi kutafta mabinti wanaokosa pa kujistiri maana ratio na hali ya kueleweka sio poa....bora niwe na wsichana hata watatu ilimradi kila mmja ajue nina mtu....inabidi siku hizi uone kijana ana girlfriend la sivyo utata
 
Mmmh ushapata excuse ya kuchepuka, khaaaa
 
SI BURE NA WEWE NI MEMBA
Haya mambo ni kumuomba Mungu sana kwani wakati mwingine mtu usiyemdhania kabisa ndo unakuta yumo na wengine wana familia na watoto. Mimi nakubali ni mdhambi sana lakini kama kuna dhambi ambayo siitegemei kuitenda hapa duniani ni hii ya kumlala mwanaume mwenzangu. Hata sijui unaanzaje masikini!

mtu aliyekuwa anajitapa kutembea na huyo mdosi kibonge ni mtu mkubwa na mwenye hadhi katika jamii hata ukimuona kwenye runinga huwezi amini. Ni unafiki wa hali ya juu!

Ugonjwa wangu mimi majimama tena yaliyofungashia. Hata wewe kama umefungashia Sema nikuPM tuone itakavyokuwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…