Kama kuna mtu alibugi stepu ni Kalonzo! Lakini pia nikiri kwamba Moi bado ni professa wa siasa za Kenya!
Kama jk alisema kila mtoto wa shule ya msingi atakuwa anatumia computer by 2015....alisema hayo wakati anafungua tawi la crdb marangu mwaka juzi
Wajalue waombe nchi yao, kwani mkikuyu kishasema, nchi haitajakaa itawaliwe na mjaluo
Hilarious but not beyond the realm of possibility.
Kwa sababu kupiga campaign na ku govern na kutimiliza ahadi ni mambo mawili tofauti.
Ni rahisi sana kutoa ahadi let alone ahadi ya kugawa laputopu za sola!
Hivi kweli kuna watu wanaosubiria hizo laputopu?
...huyu Mzee mroho sana wa madaraka, naona anautafuta tena " nusu mkate" mezani, shame...Kenya's Raila Odinga 'to continue struggle peacefully'Defeated Kenyan presidential candidate Raila Odinga has said he will seek peaceful ways to end a row over poll results, which gave a narrow first round victory to rival Uhuru Kenyatta.He said he accepted the court verdict because he wanted to avoid bloodshed."I am going to tell my people to look at peaceful ways of resolving this issue," he said. "The Supreme Court is just one step, there are many other avenues."Wounds have not been healed, in fact they've been opened up by what's
Kama jk alisema kila mtoto wa shule ya msingi atakuwa anatumia computer by 2015....alisema hayo wakati anafungua tawi la crdb marangu mwaka juzi