pia Sunshine na David Guetta,2012.Indeed man, indeed.....Ngoma yake ya kwanza kuisikiliza ilikuwa Wake Me Up kwenye BBC UK TOP 40 mwaka 2013. Nikatafuta Album yake yote na hakuna wimbo ambao sikuupenda kabisa.......
Ndo aliimba ule wimbo yupo anasukuma jiwe kubwaIndeed man, indeed.....Ngoma yake ya kwanza kuisikiliza ilikuwa Wake Me Up kwenye BBC UK TOP 40 mwaka 2013. Nikatafuta Album yake yote na hakuna wimbo ambao sikuupenda kabisa.......
Baada ya hapo zikaja zile ngoma zake za Liar Liar na Hey Brother.pia Sunshine na David Guetta,2012.
miezi minne top 40
Yeah,Ndo aliimba ule wimbo yupo anasukuma jiwe kubwa
Unaimba "Ooooooooooh sometimes"..?
Dah kwanza huo wa 'Wake me up' ukirindima kwenye disco mnapata mzuka kila mtu anaruka balaa. Au hata kwenye gym.Indeed man, indeed.....Ngoma yake ya kwanza kuisikiliza ilikuwa Wake Me Up kwenye BBC UK TOP 40 mwaka 2013. Nikatafuta Album yake yote na hakuna wimbo ambao sikuupenda kabisa.......
Yaani hatari sana sanaaaDah kwanza huo wa 'Wake me up' ukirindima kwenye disco mnapata mzuka kila mtu anaruka balaa. Au hata kwenye gym.
Rest in peace jamaa.
Watanzania kama sii 'Dayamondi' ama 'Arikiba' hamna mwanamziki mwengine wanaomjua.Simjui Mtu huyu...
Wewe ni mbongo mwerevu wengine hata hawamjui...wake me up ilifika 1 billion viewsIndeed man, indeed.....Ngoma yake ya kwanza kuisikiliza ilikuwa Wake Me Up kwenye BBC UK TOP 40 mwaka 2013. Nikatafuta Album yake yote na hakuna wimbo ambao sikuupenda kabisa.......
Hili dude na levels ni balaa
A DJ tooDuh, just now nlikuwa nasikilia 'A friend of Mine'
He was my favourite producer, aisee what happened to him??
Levels ilifanya aende internationalHili dude na levels ni balaa