RIP Baba Ndetichia!!

ndetichia

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
27,767
Reaction score
6,575
Habari zenu wakuu!
Siku kama ya leo mnamo mwaka 2010 nilipoteza baba yangu mzazi ambaye aligongwa na pikipiki na kufariki.

Nakuombea kwa mungu babangu mpendwa..

ndetichia
 
RIP baba yetu.

Pole sana kijana. Mipango ya Mungu haina makosa na wala hairekebishwi na binadamu yoyote
 
mkuu pole sana!nikutanie kidogo!mshua alikuwa shabiki wa timu gani uingereza na bongo?maana naona wewe unashabikia timu mpya tu,city na azam
 
Pole sana Ndetichia!!
Tunamuombea apumzike kwa amani
 
Tumia sehemu ya muda wako leo kumwombea kheri huko alipo. Apumzike kwa Amani, amen!
 
mkuu pole sana!nikutanie kidogo!mshua alikuwa shabiki wa timu gani uingereza na bongo?maana naona wewe unashabikia timu mpya tu,city na azam

alikuwa anashabikia simba na liverpool ndio maana mimi nikaamua kushabikia timu za miaka yangu..

asante sana..
 
alikuwa anashabikia simba na liverpool ndio maana mimi nikaamua kushabikia timu za miaka yangu..

asante sana..

What a coincidence!

ODM ni mnazi mbwa wa Liverpool na Simba Sports. Tumempoteza mtu inteligent sana. Kuzishabikia timu hizo mbili ni lazima uwe na akili kama za kina Newton.

RIP mwekundu mwenzangu. Hatutakuangusha!
 
alikuwa anashabikia simba na liverpool ndio maana mimi nikaamua kushabikia timu za miaka yangu..

asante sana..

ok!ok!kwa niaba ya mashabiki wa simba natoa pole kwako!

ngoja kina Pazi, Punainen-red waje kutoa kwa niaba ya liverpool!
 
What a coincidence!

ODM ni mnazi mbwa wa Liverpool na Simba Sports. Tumempoteza mtu mwenye inteligent sana. Kuzishabikia timu hizo mbili ni lazima uwe na akili kama za kina Newton.

RIP mwekundu mwenzangu. Hatutakuangusha!

poleni sana kwa kumpoteza shabiki mwenzenu...
thanks sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…