John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 713
- 1,246
Tunasikitika kupokea kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini na mmoja wa waasisi wa CHADEMA Kanali (Mstaafu) Geofrey Marealle kilichotokea jana usiku. CHADEMA inatuma salamu za pole kwa familia ya marehemu na wanaCHADEMA wote duniani kutokana na msiba huo. Salamu za rambi rambi zitatolewa na Mwenyekiti, Freeman Mbowe mara baada ya kutaarifiwa utaratibu mzima wa mazishi toka kwa familia ya marehemu.
Imetolewa tarehe 2 Disemba 2009 saa 11 jioni na Katibu Mkuu; Dr Wilbroad Slaa.
3/12/09: Mzee Marealle anatarajiwa kupumzishwa kwenye makazi ya milele nyumbani kwake Marangu siku ya Jumamosi tarehe 5 Disemba 2009. Apumzike kwa Amani
Imetolewa tarehe 2 Disemba 2009 saa 11 jioni na Katibu Mkuu; Dr Wilbroad Slaa.
3/12/09: Mzee Marealle anatarajiwa kupumzishwa kwenye makazi ya milele nyumbani kwake Marangu siku ya Jumamosi tarehe 5 Disemba 2009. Apumzike kwa Amani