RIP Mzee wangu Mwinamila Membe

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Nipo hapa moja kati ya vijiji vilivyopo wilaya ya Uyui mkoani Tabora kusindikiza safari ya milele ya babu yangu mkubwa Mwinamila Membe. Mzee amefariki kutokana na umri mkubwa. Alikuwa ni moja kati ya wazee maarufu kijijini kutokana na utajiri wake wa mifugo.

Tunasubiri gari tusafirishe mwili kwenda Choma kwa mazishi. P.K.A Mzee.
 
Poleni kwa msiba
 
Ajaliwe pepo ,baada kusamehewa mapungufu yake kama binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…