Kolo..Poleni wa wafiwa, haya matatizo ya kupumua yatokanayo na pneumonia ni hatari sana sasa hivi.
Usifanye assumptions ndugu,mzee wala hajafa ghafla,ni kutokana na uzee tuCHANGAMOTO YA KUVUTA NA KUTOA
Ungekuwa unampata Prof Kanywanyi usingeandika hayo.haya matatizo ya kupumua yanatumaliza kimya kimyaa tuu, jiwe kajificha Chatoo
Picha tafadhali kwa sisi tusiomjua
Poleni wa wafiwa, haya matatizo ya kupumua yatokanayo na pneumonia ni hatari sana sasa hivi.