Uko concoius sana
Ma conscious, wenye kusikiliza vitu positiveNi nani huyu?
Jazia nyama kidogo.
Ukisikia ngoma zake kamaHuyu ni Tupac bwana, apumzike kwa amani.
Umeamini kweli kuwa simjui Tupac?Ma conscious, wenye kusikiliza vitu positive
Wanaelewa
Ova
Kuna mshikaji wangu huwa anamkubali sana mimi huwa ninamwambia kwenye flow na swagger BIG alikuwa noma
We si unazinguaUmeamini kweli kuwa simjui Tupac?
Heshima yao [emoji23] kuna dude linaitwa Brooklyn finest humo Big yupo na Jay Z hatariWatoto wangu pia wanampenda sana Big
Usela ulimponzaWameuana kijinga sana hawa.
๐ง๐ถ๐ถChanges๐ถ๐ถ
fame is the worst drug known to man Itโs stronger than, heroin (jay z)Usela ulimponza
Na kujihusisha na makundi ya ajabu
Ova
Yah kweli mtihani huofame is the worst drug known to man Itโs stronger than, heroin (jay z)
Jumlisha na umri mdogo halafu ana pesa , hata kama ni wewe kupotea ni chap...