RIPOTI: Alikiba kufunga ndoa Ijumaa hii na mrembo wa Kenya

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Orodha ya wasanii wanaotoka katika kundi la ukapera inazidi kupungua kila kukicha – Alikiba anadaiwa kutaka kufuata nyayo hizo.

Msanii huyo ametajwa kutaka kufunga ndoa na mrembo huyo aliyefahamika kwa jina la Amina kutoka mjini Mombasa nchini Kenya, Ijumaa ya wiki hii.

Kwa mujibu wa chazo chetu kimesema kuwa, taarifa hizo ziliaza kusambaa baada ya Abdu Kiba kutumbua jibu wiki iliyopita wakati akifanya mahojiano na gazeti moja la huko Kenya.

Hata hivyo inafahamika kuwa Alikiba amekuwa akienda mara kwa mara Mombasa kutokana na kuwa na ukaribu na Gavana wa mji huko, Joho.



Bongo 5

 
Anaruhusiwa kuoa wake wanne.
 
AY kachukua Rwanda Ally naye anataka kuchukua Kenya heheheeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…