Ripoti: Kiwango cha Demokrasia kinaendelea kushuka Duniani

Ripoti: Kiwango cha Demokrasia kinaendelea kushuka Duniani

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
1644563205699.png


Ripoti ya kila mwaka ya Faharasi ya demokrasia iliyopishwa na shirika la Economist imeonyesha kuwa demokrasia iliendelea kushuka katika mwaka wa 2021.

Ripoti hiyo imesema kuwa kwa mwaka uliopita asilimia 45.7 ya watu ulimwenguni waliishi katika aina fulani ya demokrasia, ikiwa ni kiasi cha kilichopungua kutoka asilimia 49.4 katika mwaka wa 2020.

Utafiti huo unasema ni asilimia 6.4 pekee ya watu wanaoishi katika mazingira ya demokrasia kamili ikiwa ni kiwango kilichoshuka kutoka asilimia 8.4 katika mwaka uliotangulia.

Norway inabaki kileleni mwa faharasi hiyo kama nchi yenye demokrasia zaidi. New Zealand ipo nafasi ya pili kutoka ya nne ikifuatiwa na Sweden, Finland, Icelend na Denmark.
 


Ripoti ya kila mwaka ya Faharasi ya demokrasia iliyopishwa na shirika la Economist imeonyesha kuwa demokrasia iliendelea kushuka katika mwaka wa 2021.

Ripoti hiyo imesema kuwa kwa mwaka uliopita asilimia 45.7 ya watu ulimwenguni waliishi katika aina fulani ya demokrasia, ikiwa ni kiasi cha kilichopungua kutoka asilimia 49.4 katika mwaka wa 2020.

Utafiti huo unasema ni asilimia 6.4 pekee ya watu wanaoishi katika mazingira ya demokrasia kamili ikiwa ni kiwango kilichoshuka kutoka asilimia 8.4 katika mwaka uliotangulia.

Norway inabaki kileleni mwa faharasi hiyo kama nchi yenye demokrasia zaidi. New Zealand ipo nafasi ya pili kutoka ya nne ikifuatiwa na Sweden, Finland, Icelend na Denmark.
Mnasema demokrasia haileti maendeleo, hao Sweden, Norway na Denmark si ndo wadau wakubwa wa maendeleo yenu?
 
Demokrasia ni kitu kizuri sana,ni heli uwe masikini lakini huru
 
Back
Top Bottom