Ripoti maalum: Kupotea kwa Ben Saanane

Hii ni ripoti maalumu?
 
Something, somewhere is critically wrong!siasa sawa,hatukatai lakini hayo maelezo ya mzee ambayo naamini ni kweli yanaacha changamoto nyingi kwa wasaka maisha...kua ukuavyo lakini wazazi waheshimiwe kwani hawana mbadala na ndiyo waathirika wakubwa wa freestyle tunazoamua kufuata.
 
Namba isipotumika kwa miezi 3 mtandao husika huzifungia hii ni kawaida,Tangu Ben amepotea umeshapita mwaka mzima
 
Taratibu za polisi zinasema wa kwanza kuulizwa ni yule wa mwishi kumuona akiwa hai yaani mama yake (kama ni mtoto mchanga) au bosi wake kama ni mtu mzima. Mbowe kaulizwa? Akajibuje?
 

Kwahiyo sisi uliotumensheni hapa ndiyo tunahusika ' directly ' na upoteaji wake au una maanisha nini labda Mkuu?
 
Atakapo potea mamako ndo utaelewa
Kwan hautakuja kuzaa subr malipo ni hapa hala Mungu yupo
Mtu amepotelewa na mtt wake w unakejeli eti

Mbona hata Wewe ' Basha ' wako kapotea lakini hulalamiki Mkuu? au umeshampata mwingine wa kutiririka na kuserereka na ' Unyabeni ' Kwako?
 

Kama ishu iko polisi, CHADEMA wafanye nini kingine unadhani zaidi ya hilo?

Au unataka kutuambia CHADEMA nao siku hizi wana vyombo kama polisi, TISS nk vya kufanya uchunguzi?

Hukumalizia tu, lakini nia na lengo lako ni kutaka kutuambia kuwa CHADEMA ndiyo washukiwa wakuu wa kupotea kwa huyu ndugu....

Lakini if that is the case, kwa nini polisi, TISS na vyombo vingine vya serikali uchunguzi wao usifike mpaka huko CHADEMA na kisha watoe majibu kuituliza familia hii??

Si hivyo tu, bali kwa kumbukumbu zangu, CHADEMA wametaka mpaka kuundwe tume ya kimahakama ama kuita wachunguzi huru kutoka nje ya nchi yetu kama CIA, Scotland Yard na mengine ili kuchunguza mambo haya lakini serikali na CCM wamekataa katakata na wakati huohuo Polisi wao are doing nothing about this...!!

I don't get your point at all....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…