Ripoti: Mfumo duni wa Elimu umeshindwa kuwapatia wahitimu sifa za kuajiriwa. Kweli?

Ripoti: Mfumo duni wa Elimu umeshindwa kuwapatia wahitimu sifa za kuajiriwa. Kweli?

Ambiente Guru

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
2,605
Reaction score
1,085
Imeripotiwa kwamba mfumo duni wa Elimu hauwapatii wahitimu wa sekondai wakiwemo Form Six sifa za msingi za kuajiriwa. Inasemekana pindi wamalizapo skuli hawaajiriki kwa sababu zifuatazo;

  1. Wengi hawajui kusoma na kuandika
  2. Hawajui hisabati (Maths)
  3. Hawana nidhamu
  4. Wanachelewa hata kwenye usaili (interviews)
  5. Hawajui kusalimu mtu kwa kumpa mkono (hand shake) au
  6. Kumtakia mtu siku njema (Good morning)
  7. Hawajui kushiriki na kuendeleza mazungumzo yenye tija
  8. Hawana ujuzi
Mapungufu haya na megineyo yanasababishwa na mafunzo duni wanayopatiwa mashuleni na hivyo maboresho yanatakiwa. Haya yamebainishwa kwenye gazeti maarufu la Uingereza la "THE SUN" la tarehe 11 Juni 2012 kama inavyoonyesha link hii; Thousands of school-leavers are unemployable, say top bosses | The Sun |News|Politics. Ni matokeo ya uchunguzi mpana uliofanywa kwa waajiri (mabosi) wengi.
Hi ni changamoto katika jamii yetu

Nawakilisha!
 
Back
Top Bottom