BEST AC
Mfanyakazi wa Kampuni ya Nafasi Art Space, Naphca Kuboja, akigawa ripoti ya utafiti wa vikwazo vya biashara hapa nchini kwa wachora katuni, wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo uliofanyika, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na kuandaliwa na taasisi ya BEST-AC. Picha na Joseph Zablon