hivi mnategemea chochote kutoka kwa hawa mafisadi? wamelipana mamilioni kuandaa bogus report na hakuna chochote kitakacho badilika na mamilioni yataendelea kuliwa pale kituoni na huduma mbovu kila siku,ukiangalia vizuri issue kama ile ya ufujaji na uzembe kwenye kituo kidogo kama kile hata mkuu wa wilaya/council hata madiwani au mkurugenzi wa municipal wangeweza kumaliza mambo na mambo yakawa sawa lakini msitegemee chochote toka hii serikali ya majambazi & incompetent,tuna safari ndefu sana na umaskini wa kudumu kama hawa jamaa wakiendelea kushika nchi!