MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
NHIF, NIC, Halmashauri nyingi, tume ya uchaguzi NEC n.k. wote wametajwa kuchezea mabilioni, ndio maana mkaguzi mkuu amepindishwa pindishwa na kugeuzwa geuzwa kama mtura.
Bunge limemponda kisa alisema lina udhaifu, walitumia kijisababu cha neno moja kugomea ripoti muhimu kama hii.
Hadi namuonea huruma Magufuli, pamoja na ukali wote huo mijitu inapiga tu, mzee wa watu ameshtukiza, ameongea kwa ukali, amezunguka nchi lakini Wabongo ni mfupa uliomshinda fisi, wameshamsoma na kuunda mikakati, wanaitafuna nchi ilhali yenyewe maskini sasa sijui kipi kinasalia baada ya upigaji wote huo.
-------------------------------
https://www.thecitizen.co.tz/News/C...ocurement-/1840340-5065556-1213a88/index.html
https://www.thecitizen.co.tz/News/N...e-payment-/1840340-5065564-kctor3z/index.html
Bunge limemponda kisa alisema lina udhaifu, walitumia kijisababu cha neno moja kugomea ripoti muhimu kama hii.
Hadi namuonea huruma Magufuli, pamoja na ukali wote huo mijitu inapiga tu, mzee wa watu ameshtukiza, ameongea kwa ukali, amezunguka nchi lakini Wabongo ni mfupa uliomshinda fisi, wameshamsoma na kuunda mikakati, wanaitafuna nchi ilhali yenyewe maskini sasa sijui kipi kinasalia baada ya upigaji wote huo.
-------------------------------
https://www.thecitizen.co.tz/News/C...ocurement-/1840340-5065556-1213a88/index.html
https://www.thecitizen.co.tz/News/N...e-payment-/1840340-5065564-kctor3z/index.html