Ripoti ya CAG: Mashirika ya Umma yanayotegemea Mikopo ili kujiendesha

Ripoti ya CAG: Mashirika ya Umma yanayotegemea Mikopo ili kujiendesha

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
Screenshot 2021-04-08 at 21.05.22.png
 
Hayo mashirika yafutwe iangaliwe namna ya kuhamishia majukumu yake kwenye mashirika mengine yanayofanana na hayo yenye kutengeneza faida.
 
Hadi bodi ya korosho!!!! Inamana zile pesa walizokwapua serikali kipindi kile cha operesheni korosho hazikusaidia bodi?
 
Kwanini walisubiri mpaka afe ndio watoe report ya kweli?. Wanamuhadaa nani, kama sio unafiki tu maana ingekuwa heri jiwe akutumbue kwa kuleta report ya kweli kuliko kutuhadaa sisi watanzania kiasi hiki. Haya mambo yanaumiza Sana, na kama ni fitna ya mchezo basi Mungu akawe shahidi mwaminifu kwa mwendazake na kwa watanzania.
 
Kwanini walisubiri mpaka afe ndio watoe report ya kweli?. Wanamuhadaa nani, kama sio unafiki tu maana ingekuwa heri jiwe akutumbue kwa kuleta report ya kweli kuliko kutuhadaa sisi watanzania kiasi hiki. Haya mambo yanaumiza Sana, na kama ni fitna ya mchezo basi Mungu akawe shahidi mwaminifu kwa mwendazake na kwa watanzania.

Acha ujinga mbona mnasahau kijinga ivi prof Assad si aliwaambia ukweli mkamtimua leo mnasema mwendazake anafanyiwa fitna wakat ndo ukweli wenyewena ndo hai halisi ya tulipo
 
Kazi sana. Kama hayana uwezo wa kujiendesha, yanaachwa wafanye nini?
 
Acha ujinga mbona mnasahau kijinga ivi prof Assad si aliwaambia ukweli mkamtimua leo mnasema mwendazake anafanyiwa fitna wakat ndo ukweli wenyewena ndo hai halisi ya tulipo
Hawana akili
 
Kwanini walisubiri mpaka afe ndio watoe report ya kweli?. Wanamuhadaa nani, kama sio unafiki tu maana ingekuwa heri jiwe akutumbue kwa kuleta report ya kweli kuliko kutuhadaa sisi watanzania kiasi hiki. Haya mambo yanaumiza Sana, na kama ni fitna ya mchezo basi Mungu akawe shahidi mwaminifu kwa mwendazake na kwa watanzania.
Report ya CAG hutoka mwezi Aprili. Sidhani kama imesubiriwa JPM afe ndo itoke.

Naomba angalia kumbukumbu zako vema.

Ni bahati mbaya kuwa sasa si Rais ila UKWELI lazima usemwe, hata kama unauma kiasi gani
 
Report ya CAG inatoka kila Mwezi wa Nne kwa hiyo huu ni mwezi wa nne wa kwanza ndani ya miaka mitano??!
Angekuwepo hii report ingesoma yote haya?
Jiwe angekubali ATCL ni mzigo wa mavi
Tuwe wakweli na kujihurumia khe

Nchi imepigwa kwelikweli
🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️
 
Back
Top Bottom