Ripoti ya kamati ya Moto soko la Kariakoo imeshamalizika na kukabidhiwa?

Ilishakabidhiwa tangu last week...kwa wahusika tuu na mapendekezo kama yote.. Na kabla ya makabidhiano 'wafanyabiashara wachache' waliokuwa na bima za biashara zao wakalipwa!
Heh walilipwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…