Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

asante kuwatuletea hii maana wengi wetu tu wepesi kusahau
 
I-download ili uwe na copy yako maana washitakiwa wataifuta muda si mrefu.
Mkuu Bukyanagandi ahsante kwa taarifa hii muhimu, mwaka huu na tunako elekea maghamba wana mengi ya kujibu sijui wataficha ficha hadi lini,hatimae mambo yatawekwa wazi hadharani!!!

 
Asante mkuu maana tutapata vitu vilivyowekwa kapuni.
 
Tatizo ni kwamba, baada ya muda mfupi tu itafutwa.Maana haya Magamba yana matatizo na hayataki mambo yao ya kishenzi yajulikane thats why Dr. SLAA NI MWIBA KWAO MAANA ANAFICHUO UJINGA WAO.
 
Thanks, Je tunaruhusiwa kuwa nayo ama ni taarifa ya siri. Maana kuna mwandishi alishawahi kutwa na barua akalimwa miaka mitatu jela eti ana taarifa isiyomhusu.
 
Good old Richmond, nchi hii tunakamuliwa kinyama

  • :confused2:
 
Obama alipokuja kufungua mradi wa umeme uliorithi mambo ya RICHMOND na muonekano uleule tulimshangilia na kumsifu. Acheni hizoooooooooo!!! Mshkaji ni Jembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…