Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Kwa hiyo?Mbona watu wanazikwa kila siku na wengine kitaifa?
Safi!mimi nilipata corona nikiwa mbeya, na nina watu ninawafahamu karibia watano walipata korona!
hakuna aliyekufa
thats why sioni logic ya hizi hofu.....Safi!
Hata mimi niliipata mwezi wa pili mwaka huu.
Wala haikuwa ishu.
Hiki ni kipande cha ripoti ya Sky News, moja ya shirika la habari la binafsi huko Uingereza.
Ni kipande kilichorushwa tarehe 8 mwezi Juni mwaka huu.
Ni kipande kinachozungumzia jinsi ambavyo Rais Magufuli na serikali yake ilivyoamua kukabiliana na huo ugonjwa wa Coronavirus.
Ni karibu miezi miwili sasa tokea Sky News wairushe hiyo ripoti yao.
Sky News waliirejea hofu ya shirika la afya duniani [WHO] kwamba Tanzania iko juu kwenye orodha ya nchi ambazo shirika hilo la afya lilikuwa na hofu nazo sana.
Miezi miwili kasoro juma moja, maisha bado yanaendelea tu kama kawaida!
Maiti hazijatapakaa mabarabarani. Hakuna makaburi ya halaiki. Spitali hazijajaa wagonjwa. Nikijizungumzia mimi binafsi, hakuna ndugu, jamaa, jirani, wala rafiki ambaye nimempoteza kutokana na hiyo Corona.
Kwa muktadha wa kinachoendelea sasa hivi baina ya Tanzania na Kenya, nadhani kuna kitu ambacho Wakenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ya Magufuli.
Wameamua kukata sijui ndege toka Tanzania. Kuna kipindi sijui walifunga mpaka na Tanzania, na mengineyo.
Ninachokiona toka huko Kenya ni [1] uoga wa viongozi wao na [2] ukosefu wa uthabiti katika maamuzi yao.
Ni kama vile Kenya inaiga mataifa ya Ulaya na Marekani, kwa jinsi ilivyoamua kukabiliana na hiyo Coronavirus.
Tokea dunia ikumbwe na hilo janga, ni karibu miezi 6 sasa au hata na zaidi.
Kama yangekuwepo madhara makubwa sana basi yasingeweza kufichika kabisa.
Haiwezekani kuficha vifo na maradhi. Watanzania tulio wengi hatujaathirika na hiyo Corona. Maisha yetu yanaenda kama kawaida.
Hofu ya WHO haijatimizika. Natamani hao Sky News warudi tena Tanzania baada ya miezi miwili tokea warushe hicho kipande cha habari yao. Natamani warudi waje kufanya ‘follow-up’.
Sijui wakirudi watasemaje tu!!?
NB: Baadhi ya tafsiri zao za watu walioongea Kiswahili katika hii video yao Naona ni kama hazipo sahihi.....
Nyani Ngabu, achana na hiyo habari ya Corona, huoni image ya nchi kimataifa imechafuka sana? Kuna nini cha kujivunia katika kusemwa vibaya namna hii? Kwamba nchi haina uhuru wa mawazo na habari kiasi hicho unaona ni jambo jema? Hii sio Tanzania. Tumekuwa kituko duniani! Hii sio Tanzania iliyoachwa na kina Nyerere na wengine. Inasikitisha sana tumefikia huku. Lakini inasikitisha zaidi kuona mtu mwenye uelewa na exposure kama wewe Nyani Ngabu huoni hii hali na ubashabikia. Hebu tazama picha na taswira pana ya nchi kimataifa ilivyochafuka badala ya kuangalia mambo kwa upeo finyu namna hii.
Unasema nchi [Tanzania] haina uhuru wa habari na mawazo?Nyani Ngabu, achana na hiyo habari ya Corona, huoni image ya nchi kimataifa imechafuka sana? Kuna nini cha kujivunia katika kusemwa vibaya namna hii? Kwamba nchi haina uhuru wa mawazo na habari kiasi hicho unaona ni jambo jema? Hii sio Tanzania. Tumekuwa kituko duniani! Hii sio Tanzania iliyoachwa na kina Nyerere na wengine. Inasikitisha sana tumefikia huku. Lakini inasikitisha zaidi kuona mtu mwenye uelewa na exposure kama wewe Nyani Ngabu huoni hii hali na ubashabikia. Hebu tazama picha na taswira pana ya nchi kimataifa ilivyochafuka badala ya kuangalia mambo kwa upeo finyu namna hii.
Wakenya wamepick side na kuwa puppets wa Western countriesHiki ni kipande cha ripoti ya Sky News, moja ya shirika la habari la binafsi huko Uingereza.
Ni kipande kilichorushwa tarehe 8 mwezi Juni mwaka huu.
Ni kipande kinachozungumzia jinsi ambavyo Rais Magufuli na serikali yake ilivyoamua kukabiliana na huo ugonjwa wa Coronavirus.
Ni karibu miezi miwili sasa tokea Sky News wairushe hiyo ripoti yao.
Sky News waliirejea hofu ya shirika la afya duniani [WHO] kwamba Tanzania iko juu kwenye orodha ya nchi ambazo shirika hilo la afya lilikuwa na hofu nazo sana.
Miezi miwili kasoro juma moja, maisha bado yanaendelea tu kama kawaida!
Maiti hazijatapakaa mabarabarani. Hakuna makaburi ya halaiki. Spitali hazijajaa wagonjwa. Nikijizungumzia mimi binafsi, hakuna ndugu, jamaa, jirani, wala rafiki ambaye nimempoteza kutokana na hiyo Corona.
Kwa muktadha wa kinachoendelea sasa hivi baina ya Tanzania na Kenya, nadhani kuna kitu ambacho Wakenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ya Magufuli.
Wameamua kukata sijui ndege toka Tanzania. Kuna kipindi sijui walifunga mpaka na Tanzania, na mengineyo.
Ninachokiona toka huko Kenya ni [1] uoga wa viongozi wao na [2] ukosefu wa uthabiti katika maamuzi yao.
Ni kama vile Kenya inaiga mataifa ya Ulaya na Marekani, kwa jinsi ilivyoamua kukabiliana na hiyo Coronavirus.
Tokea dunia ikumbwe na hilo janga, ni karibu miezi 6 sasa au hata na zaidi.
Kama yangekuwepo madhara makubwa sana basi yasingeweza kufichika kabisa.
Haiwezekani kuficha vifo na maradhi. Watanzania tulio wengi hatujaathirika na hiyo Corona. Maisha yetu yanaenda kama kawaida.
Hofu ya WHO haijatimizika. Natamani hao Sky News warudi tena Tanzania baada ya miezi miwili tokea warushe hicho kipande cha habari yao. Natamani warudi waje kufanya ‘follow-up’.
Sijui wakirudi watasemaje tu!!?
NB: Baadhi ya tafsiri zao za watu walioongea Kiswahili katika hii video yao Naona ni kama hazipo sahihi.....
Ngoma ina vidonge vya kurefusha maisha kwahiyo watu anaweza kuumwa na kuendelea na shughuli zao usijue.Wewe hapo ulipo una ngoma?
Kama huna ina maana ngoma haipo?
Nini usichokijua kuhusu uminywaji wa uhuru wa kujieleza Tanzania hii? Huoni hapa tumeficha identity zetu?Unasema nchi [Tanzania] haina uhuru wa habari na mawazo?
Wewe ulichokifanya hapa ni nini kama siyo kutoa mawazo yako?
Au Kuna mtu alikuwa kakuwekea mtutu wa bunduki kichwani na akakulazimisha kuandika hivi ulivyoandika?
Hujalazimishwa kuficha utambulisho wako.Nini usichokijua kuhusu uminywaji wa uhuru wa kujieleza Tanzania hii? Huoni hapa tumeficha identity zetu?
Kwani vifo ndo vimeanza wakati wa koronaMada inazungushwa zungushwa na maneno mengi, lakini haisemi alichofanya Magufuli ambacho ni tofauti na walichofanya wengine wote kinachosababisha pawepo na tofauti kati ya Tanzania na hizo nchi nyingine..
Kiufupi, ni mipasho tu ya mapambio yasiyokuwa na maelezo.
Kenya kama ameigiza nchi nyingine, na huko Afrika ya kusini nako hivyo hivyo, na Rwanda je, kamwigiza nani. Uganda kamuiga nani?
Corona haipo Tanzania?
Watu Tanzania hawafi, unajua vifo vinavyotokea vinasababishwa na nini?
Bado kungekuwa na mambo ambayo yangeonesha athari za uwepo wa corona,kama wingi wa vifo tofauti na hali ya kawaida na pia hata kuona wengi kuuguwa kwa wingi tofauti na kawaida. Mfano nyumba za ibada hasa misikitini ambapo utaratibu wa ibada umerudi kama zamani watu wanakusanyana na hakuna tahadhari zozote hivyo hizo sehemu tungeona waumini wengi wakiugua hasa ukizingatia wengi wazee.Watu walishatishwa wakatishika na serikali ikaamua kuachana na testing. Waganga na wauguzi wakaogopa hata kupokea wagonjwa; watu wakawa wanaugua lakini hawaendi ‘spitali’ kwa kuhofia wataambiwa wana korona. Kwa hiyo hakuna ‘spitali’ yenye mgonjwa wa korona na hospital attendance imepungua kupita maelezo kiasi kwamba watu wanaweza kufa kwa magonjwa mengine kwa kushindwa kwenda ‘spitali’ ambapo wanaweza ambiwa wana korona.
Kwa hali ilivyo watu wanaweza kuugua korona na kufa kisha isemwe kuwa wamekuwa kwa pneumonia au ugonjwa wowote ule lakini siyo covid19 sababu wanasiasa wamesema haupo. Mind you, mwongozo wa wizara ya afya kuhusu covid19 haujabadilika; madaktari wasema kweli bila hofu au unafiki wanaweza kukuambia ukweli usiopendwa na wanasiasa.
Hata PM jan on ITV kasema korona haipo! Je ni kweli korona haipo?
Tuchukue tahadhari:
1. Tudumishe social distance.
2. Tunawe mikono kwa sabuni na maji tiririka.
3. Kama ni lazima uwe kwenye misongamano isiyoepukika vaa barakoa.
4. Kula mlo kamili
5. Fanya mazoezi yanayokutoa jasho ku improve cardiovascular endurance.
Korona bado ipo lkn inaepukika!
Tuchukue tahadhari!
Kwa uhatari wa ugonjwa wenyewe watu wangeona utofauti wa vifo vya kabla ya corona na kipindi hiki cha corona.Tanzania watu siku hizi hawafi?
Umejuaje kati ya hivyo vifo hakuna watu wa korona?
Maana huduma ya vipimo vya korona nchini ni very minimal, na serikali haina interest ya kupima watu enmasse.
Mimi na wewe hatuna rekodi za vifo vya watu kwa sasa ili tuweze kuwa na data za hali halisi ya vifo nchini
Kusingekuwa na corona duniani,je hicho kifo ulichokihusisha na corona ungekihusisha na nini wakati ambapo hakuna corona? Au ungesema ni ushirikina?Wanafahamika kuwa "ni wenye kukaanga mbuyu na kuwaachia we meno watafune."
Waliko wao mabarakoa hadharani si hiari. Kwao maisha ya waliopo 'ikungu lya bashashi' hayana thamani. Ila huko waliko kwenye black lives matter wako mstari wa mbele. Wanataka kuishi.
Hao ndiyo mangedere ngabu, kuona wanaona ya wenzao. Siyo ya kwao.
Jana wilayani Kahama abiria mmoja tokea Dar amefariki njiani jirani na nyumbani kwake. Night kali ya kwenye Saba Saba muda mfupi baada ya kushuka kwenye basi (rip).
Kisa na mkasa? Zile changamoto za zetu.
Kwenye Corona free country, Corona hsipo kabisa. Ila zile changamoto zetu.
Hoja ya kuulizana nani kafa huko na corona ni kutokana na aina ya ugonjwa wenyewe kuwa uwambukizaji wake na uhatari wa ugonjwa wenyewe,na ndio maana mwanzo ilikuwa akipatikana mtu mmoja mwenye corona basi mnabebwa nyumba nzima.Kuuliza si ujinga lakini kuna swali la kijinga kama lako. Wewe na sampuli za aina yako mna tatizo kubwa sana la uelewa. Nchini Tanzania ugonjwa unaoongoza kwa kuua ni malaria. Au hata na hilo utabisha? Sasa nifahamishe ni nani kati ya vilaza wenzio kafa kwa malaria? Nani kafa mtaani au katani kwa malaria? Acha kuparamia usoyajua. Praise n worship team kwa hili ni usiku wa giza!