Kenya 2022 Ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu yasema Uchaguzi wa Kenya haukuwa huru na haki

Kenya 2022 Ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu yasema Uchaguzi wa Kenya haukuwa huru na haki

Kenya 2022 General Election

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU WATOA RIPOTI YA UCHAGUZI

Kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu katika eneo la Pwani, uchaguzi uliofanyika siku chache zilizopita ulikuwa na dosari kadhaa katika maeneo mbalimbali. Mambo haya yanafanya uchaguzi huo uonekane haukuwa huru na haki.

Watetezi hao wametolea mfano wa Kaunti ya Tanariva ambako inadaiwa kuwa afisa moja wa tume ya IEBC alipatikana akisafirisha sanduku la kura akitumia pikipiki.

Aidha, kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na Shirika moja la kutetea haki za kibinadamu huria, takribani watu 2000 wanadaiwa kusafirishwa hadi kaunti ya Kwale kwa ajili ya kupiga kura. Hii ni miongoni mwa kaunti zilizo shuhudia vurugu kubwa wakati wa zoezi la kupiga kura.

Madai haya yanapata nguvu baada ya kutokea mgawanyiko mkubwa miongoni mwa maafisa wa juu wa IEBC wakati wa kutangaza matokeo ya mwisho ya mshindi wa u Rais ambapo tume hiyo ilimtangaaza William Ruto aliibuka kidedea kwa kumshinda Raila Odinga.

========



MY TAKE: Hawa ni wakenya wenyewe, sidhani Kama watasikilizwa kwasababu wazungu wameshasifia uchaguzi
 
CCM mnahangaika sana kutafuta justifications, kubalini tu ninyi ni nyani!! Hata Shetani wa Kinyankole hajafikia uhayawani wenu mliofanya 2020.

Kenya iko mbele sana sana kulinganisha na mlipo nyie manyani

Mna Epidomia.
 
CCM mnahangaika sana kutafuta justifications, kubalini tu ninyi ni nyani!! Hata Shetani wa Kinyankole hajafikia uhayawani wenu mliofanya 2020.

Kenya iko mbele sana sana kulinganisha na mlipo nyie manyani

Mna Epidomia.
Nadhani haya majibu ungemjibu mama yako mzazi Dunia ingefaidika zaidi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU WATOA RIPOTI YA UCHAGUZI

Kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu katika eneo la Pwani, uchaguzi uliofanyika siku chache zilizopita ulikuwa na dosari kadhaa katika maeneo mbalimbali. Mambo haya yanafanya uchaguzi huo uonekane haukuwa huru na haki.

Watetezi hao wametolea mfano wa Kaunti ya Tanariva ambako inadaiwa kuwa afisa moja wa tume ya IEBC alipatikana akisafirisha sanduku la kura akitumia pikipiki.

Aidha, kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na Shirika moja la kutetea haki za kibinadamu huria, takribani watu 2000 wanadaiwa kusafirishwa hadi kaunti ya Kwale kwa ajili ya kupiga kura. Hii ni miongoni mwa kaunti zilizo shuhudia vurugu kubwa wakati wa zoezi la kupiga kura.

Madai haya yanapata nguvu baada ya kutokea mgawanyiko mkubwa miongoni mwa maafisa wa juu wa IEBC wakati wa kutangaza matokeo ya mwisho ya mshindi wa u Rais ambapo tume hiyo ilimtangaaza William Ruto aliibuka kidedea kwa kumshinda Raila Odinga.

========



MY TAKE: Hawa ni wakenya wenyewe, sidhani Kama watasikilizwa kwasababu wazungu wameshasifia uchaguzi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app


Not only is this human rights commission historically pro-Raila, but the reasons they are giving are inconsequential.

I read the report. They say 200 KIEMS kits failed, so that's a big reason why it was not free and fair.
Really?
Out of 46,000+ KIEMS kit, 0.4% of them failed, so the whole election was not free. Huo ni ujinga.

Also, that some people got 2 ballot papers. How many, and how many votes did they affect?
Your fingerprint can only be scanned once, and the turnout is then immediately recorded and transmitted to Nairobi.
If people were getting more than 1 ballot papers, the votes cast would not match with the turnout.

Kwa watanzania msiojua, this has been the Civil societies strategy for looking for donor money.
Hakuna mzungu atawapa pesa if they don't appear to cause chaos.

They travel all over Kenya looking for very isolated incidents, then call a press conference. Shenzi wao.
 
Not only is this human rights commission historically pro-Raila, but the reasons they are giving are inconsequential.

I read the report. They say 200 KIEMS kits failed, so that's a big reason why it was not free and fair.
Really?
Out of 46,000+ KIEMS kit, 0.4% of them failed, so the whole election was not free. Huo ni ujinga.

Also, that some people got 2 ballot papers. How many, and how many votes did they affect?
Your fingerprint can only be scanned once, and the turnout is then immediately recorded and transmitted to Nairobi.
If people were getting more than 1 ballot papers, the votes cast would not match with the turnout.

Kwa watanzania msiojua, this has been the Civil societies strategy for looking for donor money.
Hakuna mzungu atawapa pesa if they don't appear to cause chaos.

They travel all over Kenya looking for very isolated incidents, then call a press conference. Shenzi wao.
Lakini the same types of civil societies when are in Tanzania and they talk the same about Tanzania leadership, that election in Tanzania was not free and fair, that votes were stolen, that opposition leaders were harassed, that Masai Loliondo and Ngorongoro were evicted forcefully to give that area to rich people from Arabs, and GoT says the same thing that this human wright and civil society groups are looking for funds from donors, you never agree and you give them full support [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Lakini the same types of civil societies when are in Tanzania and they talk the same about Tanzania leadership, that election in Tanzania was not free and fair, that votes were stolen, that opposition leaders were harassed, that Masai Loliondo and Ngorongoro were evicted forcefully to give that area to rich people from Arabs, and GoT says the same thing that this human wright and civil society groups are looking for funds from donors, you never agree and you give them full support [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
For Tanzania it's very obvious. You do not need foreign observers to tell you that.
 
Back
Top Bottom