Ningali ninaisaka ripoti kamili ya Dr. Mwakyembe kuhusiana na Law School nipate kuibukua kifungu kwa kifungu. Aliye nayo tafadhali itapendeza aki I share.
Hata hivyo nimefuatilia extracts kadhaa kutoka kwenye ripoti hiyo. Ama kwa hakika ni aibu mtupu yenye arrogance za kishamba.
Izingatiwe haya yamo rasmi kwenye ripoti hiyo:
1. "Sheria ni fani yenye umuhimu wa pekee katika jamii. Siyo kila mtu anaweza kuwa mwanasheria."
Eti kwamba sheria ni fani mahsusi kwa wapakwa mafuta wachache. Kwa hakika upuusi mtupu.
Kwani kia mtu anaweza kuwa mhandisi, mwalimu, daktari, nk? Kwani huo uanasheria unaongeza chakula mezani? Uanasheria? Wasemeje rocket scientists? Bure kabisa.
2. "Kwa vile sheria ni fani nyeti sana minimum qualification kwa ajili ya kujiunga na vyuo vikuu ziwekwe juu zaidi."
Kwamba sheria ni nyeti kwa unyeti upi? Kwamba unyeti huo wa sheria waauona kina Mwakyembe peke yao ambao ni wanasheria?
Upuusi mwingine wa kiwango cha lami. Mbona Kila mtu na fani yake anaiona ni nyeti?
Kwa hakika ni upuusi uliopitiliza mtu na fani yake kujidhania ati kuwa fani yake ndiyo ya maana mno kuliko zingine.
Mashindano ya umuhimu wa aina hii kwa viungo vya binadamu yaliishia na binadamu kunyimwa nafasi ya kujisaidia na ndipo ikafahamika umuhimu na kutegemeana kwa viungo vyote mwilini kwa binadamu.
Kwanini haongelei minimum qualifications ya kada zote kupandishwa?
Inatia kichefuchefu ripoti zisizokuwa na tija kama hizi kugharimiwa na kodi za wananchi. Huu ukiwa ushahidi mwingine wa uwepo wa shehena ya wasomi uchwara wasio na tija waliojaa kwenye nchi zetu za kiafrika. Kwa hivi tutaendelea kujidhihirisha kwa uduni wetu Hadi Qatar 2022.
Kwani hata ripoti ya ajali ya ndege ya precision air Kagera, ingekuwa bayana kuwanyooshea vidole hivi hawa waliotaka kutuingiza chaka mchana kweupe?
Kwani hata tuna haja ya kuunda tume za uchunguzi kuhusu nini? Ni kwa jaribio la mauaji la Lissu au kuhusu mchakato wa katiba mpya na akina Prof. Mukandara au ya Makinikia ya kina Ossoro na Mruma?
Akiiziita jina sahihi zaidi Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu:
"Ripoti za namna hii zisizokuwa na tija yoyote tokea kwa wasomi wetu ni Professorial Rubbish!"
Ama kwa hakika hii ya Mwakyembe "is just another Mayai."
Hata hivyo nimefuatilia extracts kadhaa kutoka kwenye ripoti hiyo. Ama kwa hakika ni aibu mtupu yenye arrogance za kishamba.
Izingatiwe haya yamo rasmi kwenye ripoti hiyo:
1. "Sheria ni fani yenye umuhimu wa pekee katika jamii. Siyo kila mtu anaweza kuwa mwanasheria."
Eti kwamba sheria ni fani mahsusi kwa wapakwa mafuta wachache. Kwa hakika upuusi mtupu.
Kwani kia mtu anaweza kuwa mhandisi, mwalimu, daktari, nk? Kwani huo uanasheria unaongeza chakula mezani? Uanasheria? Wasemeje rocket scientists? Bure kabisa.
2. "Kwa vile sheria ni fani nyeti sana minimum qualification kwa ajili ya kujiunga na vyuo vikuu ziwekwe juu zaidi."
Kwamba sheria ni nyeti kwa unyeti upi? Kwamba unyeti huo wa sheria waauona kina Mwakyembe peke yao ambao ni wanasheria?
Upuusi mwingine wa kiwango cha lami. Mbona Kila mtu na fani yake anaiona ni nyeti?
Kwa hakika ni upuusi uliopitiliza mtu na fani yake kujidhania ati kuwa fani yake ndiyo ya maana mno kuliko zingine.
Mashindano ya umuhimu wa aina hii kwa viungo vya binadamu yaliishia na binadamu kunyimwa nafasi ya kujisaidia na ndipo ikafahamika umuhimu na kutegemeana kwa viungo vyote mwilini kwa binadamu.
Kwanini haongelei minimum qualifications ya kada zote kupandishwa?
Inatia kichefuchefu ripoti zisizokuwa na tija kama hizi kugharimiwa na kodi za wananchi. Huu ukiwa ushahidi mwingine wa uwepo wa shehena ya wasomi uchwara wasio na tija waliojaa kwenye nchi zetu za kiafrika. Kwa hivi tutaendelea kujidhihirisha kwa uduni wetu Hadi Qatar 2022.
Kwani hata ripoti ya ajali ya ndege ya precision air Kagera, ingekuwa bayana kuwanyooshea vidole hivi hawa waliotaka kutuingiza chaka mchana kweupe?
Kwani hata tuna haja ya kuunda tume za uchunguzi kuhusu nini? Ni kwa jaribio la mauaji la Lissu au kuhusu mchakato wa katiba mpya na akina Prof. Mukandara au ya Makinikia ya kina Ossoro na Mruma?
Akiiziita jina sahihi zaidi Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu:
"Ripoti za namna hii zisizokuwa na tija yoyote tokea kwa wasomi wetu ni Professorial Rubbish!"
Ama kwa hakika hii ya Mwakyembe "is just another Mayai."