Ripoti ya Uchunguzi vifo vya watoto Tabora

Mfumwa, how does that explain Rais wa nchi anayezungumza kuhusu Mwezi wa kumi kushindwa kukumbuka vifo vya watoto 19 vilivyotokea mwezi wa kumi?

Mwanakijiji ukishangaa hiyo what about this Quote

"Yapo malalamiko kwamba wale waliorudisha pia wanatakiwa kuwajibishwa. Lakini kwa kuwa serikali ilikuwa imeshawaahidi msamaha, itakuwa si sawa kuvunja ahadi yetu. Lakini tunaelewa pia kuwaachia huru itakuwa si haki. Kwa hiyo, naomba nichukue fursa hii kuomba watanzania watulazimishe kisheria kuwachukulia hatua, Kwa mfano, kutushitaki mahakamani na kuiomba mahakama itangaze kwamba msamaha wetu si halali ni jia mojawapo. Na hilo likitokea, sisi tutakuwa tayari kufuata amri ya mahakama na kuwafungulia hawa mashitaka. Hii ndio itakuwa njia rahisi kwa kila mmoja wetu" Mheshimiwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Hutuba ya Mwezi wa Oktoba

Si alishaenda Tabora mwezi wa 10 na alishazungumzia hilo suala, ripoti imetoka and that it.
 
Mfumwa, how does that explain Rais wa nchi anayezungumza kuhusu Mwezi wa kumi kushindwa kukumbuka vifo vya watoto 19 vilivyotokea mwezi wa kumi?

Mkuu Mwanakijiji
Usishangae, inawezekana ilisahaulika katika hotuba ya JK kwa sababu ya 'cut and paste' ya hotuba zilizopita na hii issue ya maafa haikuwepo mmmmmmmmmh
 
Mkuu Mwanakijiji
Usishangae, inawezekana ilisahaulika katika hotuba ya JK kwa sababu ya 'cut and paste' ya hotuba zilizopita na hii issue ya maafa haikuwepo mmmmmmmmmh

Hilo linaelezea kukosekana mjadala wa suala hili Bungeni?
 

Rais anaandikiwa hotuba. Waziri Mkuu bungeni anataarishiwa hotuba. Wewe nani amekudokezea kwamba walisahau?

What do you mean amesahau, ameruka kusoma paragraph ya vifo au walisahau kuzijumuisha ?

Kama ilisahauliwa kuwekwa ni nani Ikulu au Ofisi ya Waziri Mkuu aliye admit kwako wewe kwamba wakati wanaandaa hotuba ya Rais na Waziri Mkuu walisahau kujumuisha paragraphs za mauaji ya Tabora ?

Isije ikawa aliyekuambia ni mdaku. Na wewe ukatubebea udaku. Ukageuka mdaku.
 

so you picked the blue pill! Understood.
 
...kwa mawazo yako wewe!! sidhani kama suala hili linaenda chini na kuwa ni suala la ku-pick red or blue pill.

...kama kawaida, ninaamini kuwa hatuelewani lugha hapa wala mawazo..

goodluck.

still I can see the blue pill at work. Carry on.
 
Hii kitu imeishia wapi? kuna mtu amewajibishwa? maana nimeikumbuka baada ya kusikia kuna wengine wanataka kupitisha mabomu!? maana visije vikatokea vifo vingine na kila siku tutakuwa tukipiga kelele na hakuna anayewajibishwa.
 
Hii kitu imeishia wapi? kuna mtu amewajibishwa? maana nimeikumbuka baada ya kusikia kuna wengine wanataka kupitisha mabomu!? maana visije vikatokea vifo vingine na kila siku tutakuwa tukipiga kelele na hakuna anayewajibishwa.

Ahh Mkuu hii ngoma ndio tusahau tena na hivi Taifastars wametutoa kimaso maso huko sudani ambapo Dr Dau alikuwa kwenye msafara mh nahisi machungu yote yameshafukiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…