Dilon
Member
- Sep 7, 2016
- 23
- 11
Wakuu,
Ni utaratibu gani wa kuomba kupatiwa ripoti ya uchunguzi wa maiti sababu za kifo chake (Post-mortem examination) kutoka hospital? Mtu kauawa na Dr/Pathologist aliyefanya uchunguzi anasema ripoti hiyo wanapewa polisi tu na kwamba itakuwa kwao kwenye jalada. Je utaratibu ukoje wa haki ya familia kupata ripoti hiyo?
Ni utaratibu gani wa kuomba kupatiwa ripoti ya uchunguzi wa maiti sababu za kifo chake (Post-mortem examination) kutoka hospital? Mtu kauawa na Dr/Pathologist aliyefanya uchunguzi anasema ripoti hiyo wanapewa polisi tu na kwamba itakuwa kwao kwenye jalada. Je utaratibu ukoje wa haki ya familia kupata ripoti hiyo?