Ripoti ya uchunguzi wa kifo

Dilon

Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23
Reaction score
11
Wakuu,

Ni utaratibu gani wa kuomba kupatiwa ripoti ya uchunguzi wa maiti sababu za kifo chake (Post-mortem examination) kutoka hospital? Mtu kauawa na Dr/Pathologist aliyefanya uchunguzi anasema ripoti hiyo wanapewa polisi tu na kwamba itakuwa kwao kwenye jalada. Je utaratibu ukoje wa haki ya familia kupata ripoti hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…