Not long ago you were such a supporter. Imperialists must have gotten to you too.Nothing credible from this stuff. It was just government rogue strategy to allow switching from the COVID-19 Pandemic conventional response to herd immunity approach to the pandemic, which unfortunately exposes citizens to COVID 19 pandemic wrath. Yet while these guys have let loose citizens to die of COVID-19 themselves are restrictively gulping the Madagascar drink!
Pity.
Ummi ni mtu hatari sana. Alimuondoa yulevdada wa NIMRI kinafiki, ana tumia ujanja huo huo kumtoa Dada wa maabara kuu kinafiki hivyo hivyo... Kulinda nafasi yake. Simpendi huyu dada tangu bunge la katiba alivyo mponda Jaji Warioba.CCM Kuwaelewa ni ngumu sana
Kwasababu mradi wa ujenzi wa maabara hiyo umekuwepo hata kabla ya awamu ya 5 kwahiyo wasingeusitisha ilihali ulikuwa katika hatua za mwishoni kabisa,na hawakujua kuwa serikali utakuja hamia Dodoma Kama makao makuu ya Nchi.Kwann Dar na sio Dodoma??
Unampima Dar anapata cheti, akifika Chalinze anaukwaa kwenye gesti, akifika Dodoma anakutana nao kwa nyumba ndogo.vipimo sio kwa madereva pekee.kila mkoa kuna vituo ambavyo vinaratibu haya mambo.ukihisi una corona unasogea kituo kilichopo kwenye mkoa wako
nchi jirani zilikuwa zinafanya hujma kwa tanzania vita ya kiuchumi.kila dereva ana corona ila wao wanapita tu kuja kwetu.
sasa tunawapima madereva wetu kisha tunawapa cheti cha vipimo kisha wakifika boder wanaonyesha cheti kuwa wapo salama wanavuka,sasa ole wake wawasumbue hatutakuwa tena na msalia mtume wala kwa jina la yesu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo maana tanaambiwa tujifunze kuishi na corona kwa sabababu ugonjwa utakuepo sana tu.Unampima Dar anapata cheti, akifika Chalinze anaukwaa kwenye gesti, akifika Dodoma anakutana nao kwa nyumba ndogo.
Mpaka kufika mpakani amejaa macovid 19 kila mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Send your complaints to WHO, if you deem it necessary.Nothing credible from this stuff. It was just government rogue strategy to allow switching from the COVID-19 Pandemic conventional response to herd immunity approach to the pandemic, which unfortunately exposes citizens to COVID 19 pandemic wrath. Yet while these guys have let loose citizens to die of COVID-19 themselves are restrictively gulping the Madagascar drink!
Pity.
Point yangu ni kuwa hicho cheti ni nothing, anatakiwa kupimwa mpakani kabla hajavuka boda, vinginevyo ataingia na Corona akiwa na cheti cha negative mkononi.ndo maana tanaambiwa tujifunze kuishi na corona kwa sabababu ugonjwa utakuepo sana tu.
jilinde chukua tahadhari.kuwa makini mpaka mwisho wa safari
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaposema fikra za mwenyekiti unananikumbua matokeo yaliyopo ufipa Leo hali ni mbaya.Matatizo ya kifikra tuliyonayo Tanzania yalianzishwa na "zidumu fikra za mwenyekiti" Enzi za Nyerere. Ukiwa na fikra tofauti ukachallenge fikra za walio madarakani unaambiwa kuwa unatumiwa na mabeberu as if huna akili ya kufikiria mwenyewe. Leo wanakwambia tumeishinda Covid halafu bado wanaogopa na kujificha uswekeni Chato.
Ikulu ni sehemu patakatifu. Na kwa vile huu ni ugonjwa wa kishetani basi hauwezi utabakia nje ya uzio wa ikulu tu.Ummy Mwalimu mbona ukiwa kwenye mikusanyiko ya Ikulu huvai barakoa ila ukitoka nje kwenye public unavaa?
The report is very light. I reserve further comments. It is good to have a new machine. We hope to get daily updates on corona victims.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa ripoti ya Uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na kueleza mambo kadhaa yaliyogunduliwa na Kamati teule ya Uchunguzi
Amebainisha kuwa Kamati imegundua uwepo wa Mapungufu katika mfumo wa kimuundo, kiutendaji na uendeshaji wa kitaaluma katika upimaji wa vipimo, uhakiki wa ubora wa majibu na udhaifu katika uhifadhi wa vipimo vya COVID-19
Amesema "Mojawapo ya Mashine za kupima sampuli za Covid-19 ilikua na hitilafu bila Uongozi wa Maabara kuchukua hatua za kuifanyia matengenezo kwa wakati"
Amesema "Upimaji wa Sampuli zote za Covid-19 umehamishiwa katika maabara Mpya iliyokamilika kujengwa katika eneo la Mabibo Dar es Salaam ambayo kwa sasa ndiyo itakuwa maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii"
"Maabara hii mpya ina uwezo wa kupima sampuli 1,800 za Ugonjwa wa Covid -19 ndani ya masaa 24 tofauti na ile ya awali ilokua na uwezo wa kupima sampuli 300 tu"
Aidha, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea maabara mpya ya Taifa Mabibo, DSM na kuzungumza na madereva wa malori na kuwahakikishia kupata majibu ya Covid-19 ndani ya masaa 24