Ripoti ya ziara yangu Kilimanjaro kuufunga mwaka 2020: Wachaga ni watu wa ajabu sana

Muulizeni John ni lini atafufua Uwanja wa ndege Soweto uliopo Moshi Mjini, au yeye siye tumsubiri mwinginee!!?
 

Watakushambulia lakini huo ndio ukweli
 
Tukupe na wewe invitation letter uwe mchagga? Sio kwakwenda huko kuchunguza kabila lisilo kuhusu, la kwenu unajua kila kitu?
 
mkuu humu umetuletea umbea wako au tafiti zako?
 
Muulizeni John ni lini atafufua Uwanja wa ndege Soweto uliopo Moshi Mjini, au yeye siye tumsubiri mwinginee!!?
Wenyeji wa Kilimanjaro wanasema kwa sasa wanasubiri kuona kile ambacho Meko alikisema kwenye kampeni zake. Aliwaahidi CCM ikishika hatamu Kilimanjaro kwenye uchaguzi wa 2020 basi atafufua kila kitu. Kuanzia viwanda nk.
 
Wewe isembo sikiliza.

Kuna mambo yapo kwa kila jamii naweza kusema ni ya ya mtu. Mfano Uzinzi

kuna mambo hawa jamaa ni unique kwao ukweli usemwe.
.
halafu hapo kwenye vilabu vya mbege umekosea.
Kila baada ya kaya 5 hukosi mbege
Mmmh!
Kuna namna uzinzi ukijikita kwenye jamii lazima ushtuke.

Mfano, Nilifika kuuliza mpaka kwenye NGOs moja maarufu ya kupambana na Ukimwi mkoani Kilimanjaro (inaitwa kiwakkuki?), nikaona data kuhusu spidi ya maambukizi ya ukimwi na ngono holela, hali inatisha kimtindo.
 
Ulienda uchagani eneo lipi ukayajua yote hayo?
 
Kwa ngono utakuwa umeikuta Sanaa Marangu. Ulichoacha ni kwamba wachaga wanaongoza kwa single mothers. Sababu ya ngono zembe!

Source: Maisha Forum 2017
Kama una partiner wako alikuja kula sikukuu uchagani na sasa amerejea ulipo, please usiguse kwanza, vuta subira kama mwezi hivi, then mshinikize akapime, lolote linaweza kutokea. Disemba Wachaga walikuwa wanatafunana kimasihara sana.
 
Ulienda uchagani eneo lipi ukayajua yote hayo?
Nilianza kwa kupita pita Rombo, Mwika, Marangu, Old Moshi na Machame.
Baadaye nikamalizia kwa kupita Kirua na Uru, huku nikirudia baadhi ya maeneo. Nilikuwa na timu ya wenyeji ambao ni marafiki zangu wa siku nyingi ambao ni wachaga.

Mahali paliponitoa jasho ni Rombo, maana nipa kubwa na kuna jamii za kichaga tofauti tofauti mnoo. Kifupi nilishindwa kupaelewa.

Otherwise nilishawahi kufika na kupita Moshi mjini siku za nyuma, ila zamu hii nimekaa zaidi na kupajua vizuri Moshi mjini. Ni kamji fulani hivi kadogo, simple na katulivu. Nilivutiwa na mgahawa ya Moshi pazuri (mandhari na misomi iko safi) na kuna mida nilijaribu kutaka kujichanganya kwenye migahawa kadhaa yenye hadhi ya kitalii kwenye mitaa fulani ya kishua inaitwa shanty town (ila parefu kidogo kwa sisi wazalendo).
 
Vipi mhaya? Sasa kuna ubaya gani hapo? Ulitaka tuwe maskini kama kwenu kagera?
Hakuna kabila lisilo na Mila,Mila za UCHAGANI ni za kimaendeleo sio potofu,kungekuwa n'a Mila potofu kusikuwa n'a elimu n'a maendeleo
 
We mwenyew mchaga acha kutusumbua hapa
Hahaha mbona unateseka? Si ulikuwa unamuunga mkono kwenye ule Uzi wake uliopita wewe na The Great Haya? Imekuaje umemjeuka? Kisa kaeleza vizur? Nilikwambia Hakuna popote tz utakuta maendeleo vijijin kuzidi UCHAGANI,nbs walikuwa sio wajinga kutoa ripoti kuwa 90% ya wakaz wa Kilimanjaro Wana maisha bora, miundombinu,makaz nk
 
Mwambie atoke kwao kule minziro aje UCHAGANI afunguliwe akili,watu wengi wa huko kagera ni washamba hawana exposure kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…