Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Takribani dakika 30 zilizopita maeneo ya soko kuu Arusha polisi wamekuwa wakirusha risasi hewani na kukamata watu hovyo....ni kitendo cha kushtua sana kwa watu tuliokuwa tukipita na shughuli zetu....je hii inahusiana na mambo ya kampeni?....mwenye habari zaidi atujuze tafadhali